Tuliowahi kuliwa na ya kutolea, karibuni kijiwe hiki hapa

Haahaa ukaamua kuchomoa betri🀣
 
Vijana kwanini hamna standards.Hiyo mizoga mnaokotaga wapi.Anyway mimi huwa nauliza mwanzo kabisa ikiwa mdada ni anajishughulisha au jobless ili nijiweke mbali na vimbwanga kama hivyoπŸ˜€πŸ˜€.

Vijana jifunzeni kulinda brand hata kama upwiru ni mkubwa kiasi gani dont be desperate.Utashindwa kufanya maamuzi sahihi.

Mbinu nyingine ya kuondoa vitete au desperation hakikisha una mademu hata watatu.Yaani plan A,B,C alafu uone kama utakuwa unawashobokea hovyo hawa malaya.Hakikisha katika hao mademu zako kuna mpenda ngono huyo simu moja keshafika🀝.

πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒVIJANA LAZIMA MJIFUNZE KUWA NA OPTIONS,UPWIRU NI MBAYA SANA!!!
 
Mi demu akisema nitume nauli na sijawahi kumnyandua najua uwezekano wa kupigwa 100%, naruka huo mtego.
Kiuhalisia ukimuitisha na hayupo mbali sana ni bora aje na usafiri utalipa akifikaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Au ajilipie na akifika nimrudishie kama hataki aendelee kujikunyata na uchi wake huko alipo,pumbavu!!!
 
MAumivu ni yale yale hata ukimblock. Pole sana mkuu
 
Hujasema ulituma shi ngapi kama nauli, ili tupime kiwango chako cha ufala.
Mi nataka nimtetee huyu bwege, maana hata wewe mkuu ungepigwa tu.

Malaya mmesoma shule moja mkapotezana tangu hapo, ungeshindwaje kumwamini?

Ni sawa na mke mnayeishi naye, akitaka kukufanyia tukio ni vigumu sana kushitukia mchezo.
 
Huyo ney unayemsemea ndo huyu 😁 Kilawo
 
Kuna wadada wenye kazi nzuri, ila mizinga wanayopiga bora unge-date. na ambao hawana kazi ujue Moja 🫒 komasavaa
 
kwa zile hekaheka nlizokuwa nazisikia kwenye simu naamini ni kweli alisafiri ila akapata bwana kwenye uo usafiri maana angetulia tu kwake kungekuwa na hali ya utulivu zaidi kwenye maongez ya simu.
Basi huyo atakuwa ni malaya mbwa.
 
Ila inauma na unakuta mzigo uliupania kinoma
Kufanya maujinga yote hayo mtu huwa kachora hadi picha namna atakavyochinja! πŸ˜†πŸ€£πŸ€£.

Si unajua kiwewe anachokuwanacho mwanaume kusubiria K mpya namna anavyoikamia kwa mawazo ya kuvunja chaga!

Halafu mtu aje abwagwe hatua ya mwisho ya kufanikisha dhamira yake na hakuna lolote analoweza kutanzua hiyo situation!

Ni lazima tu aishie kutukana na lawama kama hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…