Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,931
- 3,177
Jina tuuAsante ila username yako mmh
Majina yetu huongeaJina tuu
Sasa ilo langu linaongea nin? Lako ndo linaonyesha we ni mpareMajina yetu huongea
Yanii mambo yakilevi siyo yakuyaamini kabisaaPole! Ila sio siri, nimecheka sana kwa kutumia mbege badala ya maji.
Malizia mkuu ikawaje sasanliwah kwenda kulangua mpunga maeneo ya mkoa wa iringa kijiji cha pawaga dah wakat naludi kilichonitokea mpaka leo najiuliza ilikuwa kqel ajar au mkono wa mtu... Gari ilikata break ghafla na tulikuwa kwenye mtelemko mkali nikiwa na mjomba wangu ikabidi gari ielekezwe mto pawaga ambao ulikuwa kuna kipindi unakuwa na mamba coz hapakuwa na option nyingne...
Poleee mzeee. Lakini darajaa linahama ulikuwa ushafanya uchenjuaji wangano au ulipigwa mambo ya ozanga na nefunefuu!!!! Yani daraja linahama kabisaa???Ajali njia ya MSATA bagamoyo karibia kabisa na geti la maliasili SAA NNE usiku, nikielekea Dar, kwenye zile daraja zisizo na kingo niliona kabisa daraja linahama na katika kulikwepa .......ne next moment nilijikuta chini ya daraja gari ikiwa imegeuka juu chini
Nilitoka mzima bila jeraha kutokana na aina ya gari niliyokuwa nayo... Ingekuwa mjep sijui kama ningesalimika
Ilikuwa 2013 siku masaa machache kabla ya IDD
Ni siku ambayo asubuhi yake kuna NOAH ilipata ajali njia hiyohiyo na kuondoka na roho nane hapohapo
[emoji15] [emoji12] nilikuwa mzima kabisaPoleee mzeee. Lakini darajaa linahama ulikuwa ushafanya uchenjuaji wangano au ulipigwa mambo ya ozanga na nefunefuu!!!! Yani daraja linahama kabisaa???
Afu ajali huwa ni kufumba nakufumbua hiii hapaa ukichomoka nikwaneema tuu ya MUNGUPoleni sana mliopatwa na masaibu ya ajali mungu atuepushe maana nasoma Uzi mpaka nasisimka ukizingatia sijawahi hata kuona ajali labda kwenye mitandao ,sio kwamba Mimi ni bora au sina dhambi nikwa Neema tuu
Sasaa darajaa likhamajee au kioo cha gari kilikuwa lenzi mbinukoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15] [emoji12] nilikuwa mzima kabisa
Ni ngumu kuelezea it was a flash of moment... The next moment I was flyingSasaa darajaa likhamajee au kioo cha gari kilikuwa lenzi mbinukoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mshana bwana !natamani nikuone live yaani hapo inamaana kunapepo la ajali ila sababu wewe mtu mzito ulilikwepa ndio unamaanisha.Ajali njia ya MSATA bagamoyo karibia kabisa na geti la maliasili SAA NNE usiku, nikielekea Dar, kwenye zile daraja zisizo na kingo niliona kabisa daraja linahama na katika kulikwepa .......ne next moment nilijikuta chini ya daraja gari ikiwa imegeuka juu chini
Nilitoka mzima bila jeraha kutokana na aina ya gari niliyokuwa nayo... Ingekuwa mjep sijui kama ningesalimika
Ilikuwa 2013 siku masaa machache kabla ya IDD
Ni siku ambayo asubuhi yake kuna NOAH ilipata ajali njia hiyohiyo na kuondoka na roho nane hapohapo
Nisehemu ya ushuhuda na kumrudishia MUNGU utukufu kwa kuwaponya watu wake na ajali. Tunaambiwa tushukuru kwa yote walionusurika,waliopata ulemavu na kufiwa pia na ndugu sio kwa ubaya wala kujisifu maana kinachotokeaga katika ajali hakuna anakijuaga unashtukiaga tuu mtu upo hospital. Au ndo msiba na ulemavu na kadhalika. Hujaachaa ushirikina tuu we bibi mtu Mzee?Uzi wa kijinga huu Sijapatapo kuona.
Ajali badala kumshukuru Mungu upo salama nyie mnatangaza hapa.
Mnapeleka ujumbe upi kwa wale waliiondokewa na ndugu, jamaa, marafiki, watoto, wazee wao kwenye ajali?
Mnapeleka ujumbe upi kwa wale waliolemaa maisha kwa ajali?
Huu uzi ufutwe, ni upumbavu wa hali ya juu kuuwacha hapa.