Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Yote ni kushika pesa mikono yako haijazoea kushika

Mfano umezoea kuwa na laki to laki tatu ndo unaweza ibalance then unakuja shika milion kumi mara nyingi sana itaisha ikibaki laki ndo unapata akili

Nakumbuka nikiwa bado chuo sikuwa nimewah shika laki tano kasoro yangu kwa mkoa ule ambao bajet ya mtoto wa kiume milo mitatu ni 2500 kwa siku

Nikapiga zali moja nikapata 480k asee nilibadilika pesa mfukoni zipo nikabadil milo ..et siwezi kula wali nyama mkavu bila soda 😁 wakati mwanzo wali marage tupu daaa ..ile pesa sijui iliishaje
 
Nitatoa uzi mdaa sio mferu niliingia dsm kizembe na mtaji Wa 2 million baada tu ya Ku graduate, after 2 weeks sikua hata na mia mbovu na mzee kipindi ananipa huo mtaji alinipa husia kwa masaa 7 na kunambia tusijuane tena so pambana. Na Mimi baada ya mtaji kuisha hata sikurudi nyumbani 😁😁 kilichoniokoa ni ajira serikalini walitangaza nikaotea.
 
Hujafilisika ila umewekeza.
 
Mimi hapa nishapata wazo,

UONGOZI WA JF,AU YEYOTE ANAYEWEZA AFANYE KUPRINT UZI HUU KTK NAKALA NGUMU.KILA PAGE 1 YA HUMU NA KULE INAKUWA NI KURASA MOJA AU ZAIDI.MWISHO ZINAPATIKANA KURASA ZAIDI YA 100 NA KINAKUWA NI KITABU KAMILI(JINA LINABAKI KAMA KICHWA CHA UZI KILIVYO)
TAFADHALI FANYENI KITU KWA AJILI YA VIJANA WAJAO!
 
Hii ishu imemtokea jamaa yangu mwezi huu yani ni hatari.
 
Mimi binasfi cjawahi filisika lakin nakili wazi kabsa kma asingekuwa mke wangu kuniongoza vema kwenye mambo ya kheri mhhh bac mpaka sasa ningekuwa nishafilisika zamaaaaan!! Mwanamke wangu shujaa wangu hela natafuta mimi lakin matumiz napangiwa hela inayobaki tunafanyia jambo la maana kabsa ningekuwa mimi mwenyewe nicngeweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…