Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Duuh aysee, kweli pesa shetani, mpaka ukapata wazo la kuiwithdraw? Tena yooote? Aysee ukaishia wapi sasa? Pole
 
Mimi ndio ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndani ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipiki ya kutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa Kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamini kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingi sana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin hivi nnavyoandika hapa nmerudi naishi home kwa baba na mama sina hata mia mfukoni
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah pole
 
Hapo kwenye aya ya mwisho ndo umemaliza kabisa, mi tangu zamani nilikuwa najiuliza sana kuhusu jambo hilo, yani kila mpango wangu ninaomshirikisha jamaa yangu lazima ujambe tu hadi nikaanza kuhic labda ananiroga lakini jamaa wala hana hata idea na hayo mambo.....lakini kwa hilo utakuwa umenifumbua macho aisee
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hamna shida mkuu, tumuombe Mungu tutasimama tena!! hata trump alishawahi kufilisika Mara 4, lakini akanyanyuka tuu.
 
Hela za urithi hazina hasara.
Nilizitumbuaaaa.
KATIKA MAISHA HAKUNA KITU KIZURI KAMA KWENDA KU WITHDRAW ATM.
Tatizo akili inarudi pale receipt inaposoma salio lako ni laki mbili [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ndio unajiuliza hii niiiinunuliee halafu jibu linakujia pale pale haitoshi baada ya siku mbili unaenda toa laki na nusu halafu hukanyagi tena bank na ukipita karibu ni upande wa pili wa Barabara [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kwani vipi mbona skuelewi?? Kwamba sijawahi kushka hata m1.. ok sawa sijawqh sikulazmish mbona kama inakuuma sikuelew aisee
matani tu hayo mjomba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usichukulie too serious!!
 
h

siku nikikumbuka jins nilivyotumia ile hela huwa najifungia chumbani naliaa weee hadi macho yanakuwa mekundu
hahahaaa!! zungushaaaa, wape bia haoooo!!! wanywe mpaka waombe poa!! kampuni kubwa hiiiiiiii!!!, bill inakuja 70,000/= mfukoni una 50,000/= unachukua pikipiki fasta huku wadau unawaacha wanakula mvinyo, unaenda kuvuta 200,000/= ili imalize kila kitu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mnahama viwanja huku group linakufuata nyuma kila MTU na bebi wake unawanywesha wewe!!!
 

Eti ngedere[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…