Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Naomba. Tuwasiliane mtaalam Dm
 
Elezea zilipoteaje
 
Sister Yako aliachana naye au jamaa alifilisika
 
Kifaa gan
 
Pole sana
 
Tupe story tajiri na mtaalam

Story yake inajulikana sana mkuu ,miaka ya 2004/5 jamaa alianza kushika pesa sana hadi kuna kipindi accounts zake zilikuwa zinacheza na 300m enzi hizo 2004(Approximately 750m kwa sasa).

Kila siku mziki kwake sinza ,chawa kama wote ,asubuhi anaamshwa na mademu kwa ajili ya masaji ,msafara wake una magari si chini ya 10 halafu wote bill kwake kula kunywa kulala halafu ni daily.
 
Da huyu alikuwa mwamba alipataje pesa
 
Una elimu gani sio Kwa ulivyoandika hivyi
 
Nimejifunza kitu hapa ili umiliki hela inatakiwa na karohoo mbaya kawepo halafu uwe mtu wa kulialia shida ili watu wasikufate kukukopa halafu kuepuka beer za round ni mbaya kuliko maelezo.
Umeshawai kusikia watu wanasema

"Tuna ndugu yetu ni MASIKINI LKN ANA ROHO MBAYA?"

always huwa wanasema

"TUNA NDUGU YETU ANA HELA LKN ANA ROHO MBAYA "

poleni sana Wanangu mliwai kupata pesa na MKAFILISIKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…