Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Hayo ndio yanayo nikost Mimi na mume WANGU... FUNGA, fungua kila siku ela z uku zinaend kununua vinywaj kwa wiki yeye peke yake anakunyw kret 3 had 4 maana anajua n MARAFIKI na si mchoyo....nimeongea NIMECHOKA NIMEAMUA nikae kimya na mm sinywi pombe lakin mwenzangu Muhaya huyu anakoga sio kunywa
 
Kunywa soda hii sentesi ya mwisho
 
Walikuwa wanakutumia Kwa njia gani
 
Ngoma au gono
 
Deal gani ulipata
 
Juzi naingia ATM inatema ubaridi wa AC naangalia tuuu
 
Du
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…