bongo experience
Member
- Jan 22, 2017
- 55
- 96
Hahahaha dah!! Kweli kabisa aiseeee pombe za round sio kabisaaaaMi nashukuru nilishtuka toka mwezi june baada ya kuona masanga ndio yanapeleka mambo yangu wrong sikuamua kuacha ila nimejiwekea utaratibu ambao ndio nautumia mpaka leo hii nikitoka kazini napita liquor store nachukua konyagi kubwa jibapa la 9000 naenda kunywea home nashukuru nilirudi kwenye dira na hela naiona zaidi baada ya kuacha pombe za kampani.
"Pesa mfano wa puto zinazopepea starehe ndio sindano"
Mkuu umenena.wengi wakifilisika huwa wanakata tamaa,kupagawa na wengine wanawehuka kabisa,mie nshakuwa bankrupt zaidi ya mara mbili,lakini ari ya kupambana ndo ikazidi maradufu.na mpaka sasa mambo yanaenda vizuri tu.huwezi kuwa tajiri bila kufilisika
Tudokeze siri ya mafanikio mkuu!wanawake hawafilisikagi
Starehe zote nimefanya, hayo ndio maamuzi yanguAisee mkuu wew ninoma!
Mi pombe nakunywa for funny tu!
sinywi ili nilewe sana na raha ya pombe unywee bar huku unacheki Mpira na totoz zinavyopishana kuhudumia Wateja!
Kwa situations iliyofikia ni bora hata hiyo pombe uachane nayo tu maana hapo itakua haupo comfortably hata unapoenda inunua na mbaya zaidi ni pale unaporudisha chupa.
kwa nini avatar yako usiandike ngedere...ni wazo tu!mimi ndo ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndan ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipki yakutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamin kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingisana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin iv nnavyoandika hapa nmerud naish hom kwa baba na mama sina hata mia mfukon
Mkuu inaoneka unaushawishi sana maana mafungu uliyokuwa unakatiwa noma....Jibaba ambalo huna future nalo,na yeye analijua hilo
mkuu kuna watu wanaanza na hiyo mil2 inawatoa kabisa.Hujawahi kufilisika mkuu.wewe uliingia hasara.ingekuwa umepoteza mtaji wa milioni 100 sawa.hizo za milioni 2,3 mpaka 10 tumeshapoteza wengi sana ni hela ya kawaida kuingia loss kwa sisi watafutaji.ikitokea unasikitika kidogo,unajitathmini wapi ulipokosea,unajipanga unarudi vitani.
Huu uzi haukufaiAisee mkuu wew ninoma!
Mi pombe nakunywa for funny tu!
sinywi ili nilewe sana na raha ya pombe unywee bar huku unacheki Mpira na totoz zinavyopishana kuhudumia Wateja!
Kwa situations iliyofikia ni bora hata hiyo pombe uachane nayo tu maana hapo itakua haupo comfortably hata unapoenda inunua na mbaya zaidi ni pale unaporudisha chupa.
basi we n mchaga fekiDuuuu Pesa kubwa kushika ni elfu hamsini. Nina miaka 30. Sijui hizo milioni nitazishika?
Kwani og yukoje?basi we n mchaga feki
Haha hemu kuwa serious japo kidg basi mkuu[emoji23][emoji23]Duuuu Pesa kubwa kushika ni elfu hamsini. Nina miaka 30. Sijui hizo milioni nitazishika?
Kwann mkuuHaha hemu kuwa serious japo kidg basi mkuu[emoji23][emoji23]
Mkuu mbuz choma ya 10k si kesi nawe[emoji23][emoji23][emoji1] [emoji1] [emoji1] . Nilikuwa nakaanga mayai 10 kila siku.
Nikienda bar. Mbuzi choma ya 10,000.
Kuhonga sasa.kuvaa usiseme.
Mara ya mwisho Naenda ATM. Kuna 4,500..
Nilikuwa mdogo.ila HeLa za kukinga tu hazina Baraka