daaa!!!nimekuelewa kichiz
Umetisha mwamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetisha mwamba
Hakuna best....usipende kuamini sana imani mfu...! Sio kweli...ni hustle na kuplay smart n harder!kama sio uganga basi ana kipawa
Nimependa ulivyojiita ngedere[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi ndo ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndan ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipki yakutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamin kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingisana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin iv nnavyoandika hapa nmerud naish hom kwa baba na mama sina hata mia mfukon
Ndio maana nikasema ni kipawa madam.Hakuna best....usipende kuamini sana imani mfu...! Sio kweli...ni hustle na kuplay smart n harder!
[emoji1787][emoji1787][emoji23]Nilipitia janga moja hadi nikawa najiuliza au ni kwa vile natoa hoja za kumpinga Mungu?
Nikaja kugundua haya mambo yanawakuta wote
Mbaya zaidi ukifilisika watu waliokuwa wakaribu yako wanakufanya mwanasesere wao
Ndicho kinachowatafuna wengi dadeki[emoji2958]Ukiweka nadhiri Ni lazima uitengue
Ni mbaya Sana usipoitengua...Ni hatari kuchelewa kuitengua
Kama huwezi kuitengua Ni Bora usiweke kabisa maana mwisho hugeuka laana
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeh?Ndicho kinachowatafuna wengi dadeki[emoji2958]
Imebidi nicheke kwanza!Mi nikizipata sitafilisika...ewe mola nisaidie
Bora umekuwa mkweli!Duuuu Pesa kubwa kushika ni elfu hamsini. Nina miaka 30. Sijui hizo milioni nitazishika?
Uzi mzuri sana huuHe mungu saidia kupitia uu uzi nimejifunza vingi kuhusu nidham ya pesa [emoji120][emoji120]
Kila nikionaga hii comment mi mbavu sina[emoji16][emoji16]
Mkuu unaendeleaje na biashara ya mbao?
Ooops Safi sana mkuu@Dianaspencer Jah is by my side mambo yanaenda btw nakuja Pm kukuchokozaView attachment 1258888