Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

pale k
hahahaha...kampala acha kabisa mji wenyewe unakushawish kutumia hela...maana starehe jijini pale duuh acha..
Mimi kuna siku nilienda nikiwa kwa akaunt nina kama laki 9,huwezi amini laki 600k ilikatikia mji ule...alafu sio mtu wa totozi kivile
pale coopers house mchana maduka usiku grocery dhu milimalizia pale hela ya mtaji wa viatu kwa bia za balozi ndizi mzuzu na pussy za kila aina..
 
Wakati Hayati Rais Magufuli anatoa agizo la kwamba Serikali itanunua Korosho toka Kwa wakulima baada ya,kuona wafanyabiashara Wana bid Kwa pesa ndogo, waliolipwa ni wakulima tu tena walioonyesha mashamba yao (hati).

Walanguzi wote a.k.a wazee wa kangomba walipigwa chini na ndipo wengi walipopoteza mitaji yao na kufilisika na wengi tu walikufa Kwa pressure.
😂😂 magufuli kiboko ya wahuni
 
Mwanangu mi kuna account yangu moja nili mfwata inbox kabisa mkuuu hata nikiona comment yoyote lazima nimsifie tako lake aseee

Simjui hanijui ila nakwambiaje ntamsifia tako lake mpaka siku ntakayoiacha jf mkuu

Yaani tako limepanda alafu chupi ime overlap daaah 😍😍😍 huyu demu basi tu
Weka picha boss
 
Screenshot_20230405-190054~2.png
Weka picha boss
Pepoo pepooo
 
Mwanangu mi kuna account yangu moja nili mfwata inbox kabisa mkuuu hata nikiona comment yoyote lazima nimsifie tako lake aseee

Simjui hanijui ila nakwambiaje ntamsifia tako lake mpaka siku ntakayoiacha jf mkuu

Yaani tako limepanda alafu chupi ime overlap daaah [emoji7][emoji7][emoji7] huyu demu basi tu
Aiseeee
 
IMG_2760.jpg

Mimi ni programmer kuna project nilipata kampuni x la mtandao wa simu na baada ya kuikamilisha hii ndo amount nimelipwa ( 12,000,000 ) baada ya dalali kukata yake na kodi za serikali kukatwa , sijawahi miliki this amaont.

Nimeicha kama wiki hivi sasa nikifikiria nini cha kufanya ili kui zalisha hii hela naomba nipate ushauri na mimi nisije imaliza kwa kujilaumu

NB: Sijaoa bado nimepanga na chuo nimamaliza 2021 nyumbani hawanitegemei sana maana kila mtu ana jishughulisha kiasi.
 
View attachment 2592498
Mimi ni programmer kuna project nilipata kampuni x la mtandao wa simu na baada ya kuikamilisha hii ndo amount nimelipwa ( 12,000,000 ) baada ya dalali kukata yake na kodi za serikali kukatwa , sijawahi miliki this amaont.

Nimeicha kama wiki hivi sasa nikifikiria nini cha kufanya ili kui zalisha hii hela naomba nipate ushauri na mimi nisije imaliza kwa kujilaumu

NB: Sijaoa bado nimepanga na chuo nimamaliza 2021 nyumbani hawanitegemei sana maana kila mtu ana jishughulisha kiasi.

Wekeza kwenye programmer. Ongeza vifaa kama ulikua unaitaji, jitanue katika kazi zako ziwe na ubora. Jitangaze pia ila hakikisha utumii pesa yote.

Kama utataka kujifunza kitu kipya cha kukuingizia kipato kama biashara, hakikisha unaweka tuu 2 million kujifunza na kuhakikisha inazalisha. Utapata uelewa wa namna gani faida na mzunguko ulipo.

Usijaribu muambia mtu yoyote atakaye taka kukushirikisha biashara una shilingu million 10. Tutakuibia na kukudhurumu
 
Back
Top Bottom