Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Taratibu aisee yaani umefanya moyo ulipuke puuuh..!

Yaani hawa platinum credit wataua raia huku....jamani msipende kuchoma mikuki ya moto rohoni yaani hata ni vigumu kuelezea

Hahahahahaa mimi walikuwa kila siku wananitumia majembe,siku nilipogundua walipoweka zile GPRS zao walifurahi,mpaka leo wananisaka na mkopo sijawahi kulipa.
 
Wakati mwingine usiwazingatie sana watu na comments zao humu.Mimi nilikopa na nikajenga na Sasa naishi.Nilikopa na nikaanzisha biashara miaka Saba iliyopita na Sasa inanitunza Mimi na familia.Mshahara ni chanzo kizuri mno Cha mtaji,kwakuwa hautateswa na rejesho la Kila mwezi kutoka kwenye biashara
 
Hahahahahaa mimi walikuwa kila siku wananitumia majembe,siku nilipogundua walipoweka zile GPRS zao walifurahi,mpaka leo wananisaka na mkopo sijawahi kulipa.
Duuh mm wananidai mwaka sana umeisha sijui ni watoroke aje
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah hatari
 
Hahahhahahah wewe jamaa
 
Pole sana mkuu. Kama bado uko na hizo shughuli za kushona tupeane connection DM. Mim pia ni fundi kama wewe
 
Pole sana mkuu. Njoo DM tupeane connection za ufundi wa kushona
 
Afisa mikopo utaua watu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimecheka sana hiyo kuchomekea mpaka kwenye diaphragm
 
Huwezi ishtaki serikali wakati uhai wa kampuni yako unategemea tenda kutoka kwao
 
Nimecheka asee
 
Project za Serikali ni pasua kichwa sana, shift ya kutoka kwa JK to JPM imefanya makandarasi wengi kuwa maskini. Kukopea hela mradi wa Serikali pasua kichwa, labda uingie ubia na bank katika mradi husika inaweza pona pona yako.
Shida pesa ikija kama huna pesa nyingine wanakata chao juu kwa juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…