Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Mambo kwa ground ni tofauti sana [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Project za Serikali ni pasua kichwa sana, shift ya kutoka kwa JK to JPM imefanya makandarasi wengi kuwa maskini. Kukopea hela mradi wa Serikali pasua kichwa, labda uingie ubia na bank katika mradi husika inaweza pona pona yako.
Usifanye biashara na serikali hasa kama biashara Yako Haina mizizi utafilisika tu
 
Ni jambo linawezekana kabisa 100% hasa kama unataka kuekeza kwenye real estate cyo kila mkopo uendeleze biashara. Kukopa na kujenga kwa ajili ya biashara n nzur pia.
real etste inajengwa kwa profit generated sio mkopo...kwa sababu retune yake hadi uufikie profit margin ni mda mrefu labda zingekuwepo bank of investment hapa tz...zote ni commercial...hakuna itakayokupa grace period..ladba uchukue mkopo kumalizia real estate yako watu waingie uanze kupiga hela ila sio kujenga JARIBU UJE UTOE USHUHUDA HAPA.
 
Je hata hiyo ya bila riba alifanikiwa kulipa?

Maana ninavyojua, ukishafirisika hata uambiwe kulipa bila riba ni mtihani tu!

Ninawaona kina mama waliochukua pesa za Halmashauri zisizo na riba wanavyohaha namna ya kulipa marejesho tarehe zikifika!
 
Je hata hiyo ya bila riba alifanikiwa kulipa?

Maana ninavyojua, ukishafirisika hata uambiwe kulipa bila riba ni mtihani tu!

Ninawaona kina mama waliochukua pesa za Halmashauri zisizo na riba wanavyohaha namna ya kulipa marejesho tarehe zikifika!
Sure bro. Mambo yakigoma huwa ni balaa.
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tabia mbaya hiyo
 
Naomba msaada, nawezaje kukopa na sina biashara lakini nina Nyumba yenye HATI?? Nifanyeje niweze kupata mkopo??

Unaenda kupoteza nyumba!! Mkopo mzuri km tayari una biashara yenye mzunguko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…