Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Fact🙏
 
Mikopo inahitaji nidhamu na commitment

Nilikopa Mwaka Jana 35M, Mkopo wa miezi 12

Bahati mbaya biashara ilienda vibaya hivyo nikalazimika kutumia kipato changu kingine kurejesha Mkopo.

Nilifanikiwa kuurejesha Mkopo Kwa shida sana

Mapema Mwaka huu, nikachukua Mkopo mwingine
Kufikia weekend hii nitakuwa nimeulipa wote

Tukopeni Kwa malengo
 
Ushauri wako ni tukope
 
Duh hatari...mkopo ukazalishe ndio utaenjoy
 
Yaani mikopo si mizuri wallah, nina best yangu kakopana kwenue vicoba sijui black sijui wapi yaani na hana alichokifanya, sasa ni kazi ya mume kumlipia mkewe madeni.
Pumbafu mie ningekuwa mume ningemwambia kagegedwe mpaka ulipe mikopo ya watu. Shenz type
 
Mikopo, mikopo, mikopo, mikopo, mikopo, huwa naona na kusikia watu wanavyoteseka kuhusu mikopo, sitaki hata kujaribu.
 
Nimekopa 30m nikaingiza kwenye ujezi wa gest house, marejesho ni kila mwezi kwenye salary yangu kwa miaka 5. Pesa imekata na ipo kwenye hatua za mwisho.

Naiwazia hii miaka 4.5 iliyobaki ya mateso, kilio na kusaga meno maana sina chanzo chochote cha pesa zaidi ya kazi, na salary inayobaki baada ya makato hata mwisho wa mwezi hua haitoboi.

Sio tangazo ila kama kuna kiumbe kipo tayari kufanya biashara aje DM. alipe kodi tuingize kwenye finishing anze kupiga pesa, eneo ni zuri sana ndani ya DSM. maana atakua ameokoa jaazi ili nipambane na marejesho kwenye salary.

NAKARIBISHA NA WALE WANAOHUSIKA NA KAUSHA DAMU PIA TUYAJENGE KWA MAKUBALIANO MAALUMU.

"IF YOU DIE YOU DIE"
 
🤔Duh pole
 
Hela ya mkopo wanasemaga tuziombee na tuzitolee sadaka hazifai
Yani huwa zinaishaga hujafanya cha maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…