Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Kuna shida katika uendeshaji wa local company, kuna kipindi mtu ana sign mkataba tu ili apate kazi hata kama haoni kitu mbeleni.. badae yanatokea mazingira kama hayo na ndio mwisho wa company. Jiulize kwanini local company nyingi zinakufa
 
mikopo nomaz mimi hadi leo kuna bank inanidai 16mil nasijui ntawalipaje wameshikilia hati ya nyumba yangu ya pekee niliyoujenga jaw jesho sijengi sanaaa .
Mkuu mimi Mzazi wangu kakopa pesa Banki lakini kwa marejesho ya banki kukata kwenye pensheni yake sasa pensheni yake Azina hawaja muingizia benki miezi 4 imefika sasa Afisa mikopo wa Banki ana tusumbua sisi watoto tumpeleke mzee wetu Azina akahakikiwe, Mimi nimekataa simpeleke kwasababu pesa alivyokopa haja tugaiya kaitumia peke yake, sasa hatujui afisa mikopo wa benki atazipataje pesa zaidi ya Milioni 10

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Si hatuvunji December maana hakikuanza December
Ndo kwanzaaaa tuna miez kadhaa
Pole,inabidi upambane tu,

Nilikopa laki 6 aisee nilishasema silipi maana mambo ni mseto na nimekuja shtuka tulipewa wiki 2 turejeshe juzi j,pili nimehesabiwa hisa zangu nilichomoka na 24000 tu[emoji16]

nafikiria hapa niingie tena au[emoji706]
 
Pole,inabidi upambane tu,

Nilikopa laki 6 aisee nilishasema silipi maana mambo ni mseto na nimekuja shtuka tulipewa wiki 2 turejeshe juzi j,pili nimehesabiwa hisa zangu nilichomoka na 24000 tu[emoji16]

nafikiria hapa niingie tena au[emoji706]
Ingia tena vinasaidia mnoo
Me nkiwa na shida ya laki kadhaa hadi milioni ndo naibukia huko pananitoa sana
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Usichukue Mkopo kuanzisha Biashara.
🤔🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…