Kweli hiyo kausha damu yani hakuna nafasi ya kujipanga ata wikiUsiombe uchukue mkopo wa KAUSHA DAMU...wanakupa leo kesho unaanza marejesho mfululizo mpaka utapomaliza kina mama wamekauka huko mitaani sio poa
Tutahakikisha kabla hujakimbilia burundi basi utakimbilia gerezan ukiwa umelipa deni letu kwa 99%[emoji16][emoji16]
Njoo tulime dada yangu mie shamba lipoKaka yangu mzabzab anataka tukope tukalime matikiti moro.
Dah ! [emoji2][emoji2][emoji2]Pole mkuu ! Unachukua tu mkopo bila kujua ABC zao zikoje ? Alafu hela ya mkopo unajengea ?Aisee hii mikopo iko nzuri na mibaya, nilishawai kuchukuwa M10 za mkopo hapo sikujua namna ya kurejesha maana ilikuwa haraka haraka siku yule jamaa ananipa utaratibu wa kurejesha niliishiwa nguvu, maana nilitakiwa nilipe jumla ya M16 kwa miezi sita, cha kustaajabu hela yote niliijengea, nyumba nikaiuza nikageuka mpangaji kwenye hiyo nyumba, alienunua hiyo nyumba nae akanipa notisi niachie nyumba yake.
Hebu kataje tafadhari...tujifunzeKuna ka benki kamoja mkopo wake hauishi kabisa.
Ukimaliza deni wanakuja tulisahau kukata faida.
Ukimaliza wanakuja tena, tulisahau kukata bima
Ukimaliza wanakuja tena, tulisahau kukata kapacity charge
Ukimaliza wanakuja tena, mahesabu ya kwanza yalikosewa.
Ukimaliza deni huambiwi umemaliza, baada ya miezi mitatu wanakuja tena yaani madeni yake hayaishi.
Jamani mimi sijataja jina la benki yoyote, walio yakuta wanaijua.
Nimeacha kabisa kukopa tena benki.
Heee naomba no zaoKuna kikampuni hapo dodoma kinakopesha kwa dhamana ya kiwanja, chombo cha moto, ama nyumba, muhimu uwe mmiriki halali, watafute hao, uwapige hela, ukishindwa kurudisha wanachukua chako kinakuwa chao, unakuwa kama umeuza mali na kupata pesa...THE DEAL DONE, hivyo ndivyo maharamia tulifanya biashara bila kuhangaika na wateja[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mimi nikija kutulia kibiashara nitakopa nijenge.Ni jambo linawezekana kabisa 100% hasa kama unataka kuekeza kwenye real estate cyo kila mkopo uendeleze biashara. Kukopa na kujenga kwa ajili ya biashara n nzur pia.
Wewe ni mzoefu hautakwama.Hii ni mara 4 nakopa mkuu back to back,sema mara hii biashara sielewi kabisa zaidi ya kusikia tu watu wanaunga mkono juhudi [emoji851]
iyo benki gani riba asilimia 60, ata ivyo ulibugi vibaya, unachukua mkopo unajengea. poleAisee hii mikopo iko nzuri na mibaya, nilishawai kuchukuwa M10 za mkopo hapo sikujua namna ya kurejesha maana ilikuwa haraka haraka siku yule jamaa ananipa utaratibu wa kurejesha niliishiwa nguvu, maana nilitakiwa nilipe jumla ya M16 kwa miezi sita, cha kustaajabu hela yote niliijengea, nyumba nikaiuza nikageuka mpangaji kwenye hiyo nyumba, alienunua hiyo nyumba nae akanipa notisi niachie nyumba yake.
Niunganishe na hao wamama na mie nipewe mbususu kiulaini🤣🤣🤣Usiombe uchukue mkopo wa KAUSHA DAMU...wanakupa leo kesho unaanza marejesho mfululizo mpaka utapomaliza kina mama wamekauka huko mitaani sio poa
Atleast kala totoz. Nyumba kitu gani bwana dunia yenyewe hii tunapita tuuKuna jamaa yangu alikopea nyumba Kama 10m,,,, ! Nyumba yenyewe urithi ! Bank officer alomfanyia mpango alikula Kama lak 4 za fasta, yeye jamaa Ni mtu wa totoz na Bata,,,
Lengo lake ilikuwa afungue biashara, kachezea ile hela Kuja kustuka imebaki 5m. ,, Kafungua biashara Hana uzoefu nayo, mwanzon pale Mambo magumu ,,,huku marejesho,,,ngoma ikamshinda akauza duka akasepa ! Ile nyumba ilitangazwa mnada, ndg zake wanajiweza ndio waliiookoa! Sa hivi pale hasogei, anaishi Kama digidigi,,,ni mtu wa kujificha hapendi kujichanganya,,,
Nyumba imepangishwa,,,ndg walisema mpk hela waloitoa ikirudi ndo apewe !
Jamani mie nacheka jinsi watu wanakopa alafu kurudisha tabu. Dah sasa bora ya nyie angalau mnakopesheka sie wengine tunaambiwa hukopesheki endelea kutulia kwa mama wa kambo hapomzabzab
Acha umbea na ww unajichekesha nn sasa 🤔
KikobaJamani mie nacheka jinsi watu wanakopa alafu kurudisha tabu. Dah sasa bora ya nyie angalau mnakopesheka sie wengine tunaambiwa hukopesheki endelea kutulia kwa mama wa kambo hapo
acha tu, ndo maisha niliyofikiria inawezekanaHivi unakopa kabisa pesa ili ukajenge?!