Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Andika tujifunze mwanawane

Kifupi nikopa NMB 10ml nialipa marjesho kama 6 biashara ikaanza kuyumba.aisee nilihangaika huku na huko nyumba isiuzwe bila mafanikio.mwisho niliongea na marafiki zangu wanimlizie deni then mambo yakiwa mazuri niwarejeshee wao badala ya benk,hivyo nilipigwa tough kama 4ml nikaokoa nyumba yangu..sasa deni limehamia kwa washkaji ndo mziki upo hapo.Mungu nisaidie
 
Pole sana. Mikopo nyoko
 
Karibuni MABENA FINANCIAL SERVICES TUPO NCHI NZIMA KILA WILAYA MKOPO CHAP RIBA 20% dhamana Ni vitu vya ndani
Duh riba 20%, tax 30%, bima, matozo etc hivi inawekana vipi kufanya biashara kwa kutumia pesa ya mkopo bongo? unaweza kufikiri ufisadi na rushwa ndio vinatufanya tuwe masikini na biashara zishindikane kumbe huku napo ni worse kuliko maelezo, kwa riba kama hizi, tax na matozo nchi itaendelea kuwa maskini kwa muda mrefu sana
 
Nina ndugu yangu anafanya buashara ya nguo, alifanikiwa kupata hela kidogo akajenga nyumba kali ya kisasa na usafir binafs, badae akaja kuyumba kuchumi nadhani alijusahau akatumia mpaka mtaji kwenye ujenzi.

Sasa akaenda kukopa milion 50 bank aongeze mtaji wa biashara,kwenye biashara ikakatika yote ile hela aisee alitaka kuchizi.

Deni lilibaki kama mil 17 na muda wa kurejehesha ulibaki mchache sana yaan alikonda kiufup alifirisika kabsa hata buku akawa hana. Alikata tamaa akisubiri nyumba iuzwe.

Bahati nzuri kuna jamaa yake mmoja alikua anampaga mzigo walikutana akamuelezea hali ilivyo yule jamaa wakaenda nae Bank akamlipia yote ndo ikawa bahati ya kutouziwa nyumba.
 
[emoji1787][emoji23]
 

Umenipa akili wanaitwaje??
 
😂😂😂Ety unakopesheka.
 
Kuishi na watu vizuri inasaidia sana. Huwezi kosa hata mmoja wa kukuokoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…