Tuliowahi kuvamiwa, kuibiwa au kutekwa na majambazi tujikumbushe


[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]pole mkuu ndio maisha
 

Yalijua mchawi au?:
 
Mi ile wanaruka fence kumbe niko macho, nikaandaa mguu wa kuku, ile wanabomoa tu mlango na fatuma yao nikaanza kuwatembezea za kichwa tu, mi nikaimba nao za kichwa tu.

hii ilimkuta njagu mmoja chanika kwenye nyumba yake.

majinga yameparamia ukuta yakafikia chumba cha watoto,ila purukushani wakiuliza chumba cha baba jamaa akashtuka akakoki akabunda nyuma ya mlango.

ile wanafungua mlango tu wa kwanza akakutana na msumali wa kichwa,wenzie wakajikuta wamefika dodoma kwa miguu.
 
Kipindi kile cha zamani magari yalipokuwa yanatekwaga na majambazi,walikuwa wanawaambia wasafiri wavue nguo zao zote,alafu mgeukie uliyekaa nae karibu awe mwanaume au mwanamke,muingilie,seat ya nyuma kulikuwa na lishoga liliposikia hivyo likavua nguo zake haraka,lishoga likasema jamani nishavua nguo zangu aliyetahari aje kuniingilia huku likiwa limefurama...
 
Mkuu wewe ulikuwa wapi ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ƒ
 
Pole SANA mkuu....usipende kulipa kisasi kwa baadhi ya VITU maana maandiko yanasema samehe 7X70.....muombe mola akuepushe ni mipango yote mibaya
 
Ukaona mpaka ukwatwe panga ndo utoe pesa

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23]Aliepigana na wezi Hadi wakafariki wote ndo sijaelewa aje atupe ushuhuda mbinguni kupoje[emoji23][emoji23][emoji23]

Huku hakuna tozo kabisa kila kitu bure!,lkn wale mabikra 72 sio kweli [emoji28]ni mwenye wakutulia tu na genye zako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ