Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

mimi kukuomba namba unanikimbia
undugu wetu unaishia wapi ?
 
Kipindi nikiwa mgeni nilijuutaa,yaan fulk kutishiwa mara usalama wa taifa mara sijui email yangu inaonekana hivyo ntakamatwa nikasema hee kwan kuingia JF dhambi

Wastaarabu wakanielewesha ni mbinu za kuogopesha watu humu hasa wakoromije kama mie haha

Ukiwa na waelewa PM hakuna stress wala ugomvi full burudani
 
Halaf wana vimaswali hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…