Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]. Sikumbuki kama ile ilikua yako mkuu
 
mambo suzan
 
Hahaaa. Mie ntajitolea Kaka sababu unapitwa na Vingi.

Sababu Urafiki, undugu, Ukaka, Udada, Uchumba unaunganishwa na PM sababu ndio watu wanaanzia huko baadae wanahamia sehemu iliyo salama zaidi nje ya Jf.
Kweli lakini wengine wanashindwa kuelewa kule ni kama huku mtaani tu. Kuna mtu mtakua mshkaji mwingine atakua beb mwingine atakua mtoto kaka dada etc na wengine pia huwez kuclick nao. Mwingine akija pm anataka mzoeane wakati wewe unaona kabisa huwezi kumfanya hata kuwa babu yako. Kuna watu wanakuja pm wanachat kishkaji kabisa hamna hata kuombana namba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…