Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Pm zimenionyesha uowongo wa wa mademu wengi
 
SAKAYA popote ulipo mungu anakuona!.Umenikatili, Umeniumiza, kwakuwa nilikupenda sana, pm nilikufuata nikasema nawe kwa sauti yaupole but ulinifananisha na kasha lililo tupwa. Asante!!"
Nlitaka kupasuka moyo nikidhani umemtaja mchepuko wangu Sakayo
 
Basi labda usilale kabisa leo best, manake unavokimbia....khaaa!!

Mie naondoka narudi nachungulia naondoka tena, hivooo!! Na bado sijamaliza
Hahaaaaa. Yaani hapa nauchungulia tena duuh. Umekimbia hatari.

Hapa nazidi kuamini kwamba kweli Pm ndio mambo yote ndani ya jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…