Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Halafu utatulea ukimwi nyumbani wewe.Alafu jana nmekuota etiii!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu utatulea ukimwi nyumbani wewe.Alafu jana nmekuota etiii!!
Mwenza bado nasubiria ujueNaona unanisingizia. Mimi na kuringa wapi na wapi
Haha mimi au ww ulivyo na ma bby wengi na wew nmeshakushindwaHalafu utatulea ukimwi nyumbani wewe.
Sio kweli halafu.Huo ndo ukweli sema we hujijui
Sawa bwanaHahahahaa...! Uzi fulani amazing.
Hapana kaka sijasumbuliwa na hata mtu akinisumbua hawezi kuta hata siku moja namzungumzia huku majukwaani.Hujasumbiliwa usitaje ID tu
Hahaaaa. Pole sana.Sijui kwanini kila nikiplan kubisha hodi kwako nagwaya[emoji85]
Nifanye nithubutu tafadhaliHahaaaa. Pole sana.
Hahahhaaa. Nini tena mwenza?. Mwambie mume nimemmiss sana leo na nampenda sanaaaaaaaaaaa.Mwenza bado nasubiria ujue
Akaaaa. Mie nina mabeb sita tuuHaha mimi au ww ulivyo na ma bby wengi na wew nmeshakushindwa
Umenikumbusha mbali... Hahhaah daahHalafu utatulea ukimwi nyumbani wewe.
Sijaona bado [emoji2][emoji2]When I said u are everyone's fantasy I wasnt joking....si unaona!
[emoji3][emoji3][emoji3] ! Nimeona comment yako ikabidi nicheke tuuHahaaaa. Pole sana.
Nakuendea kwa mganga halafu nakupeleka kwa nabii hadi unikubaliHalafu wewe sikutaki tena. Ila mahindi yangu nitumie tu
HahahaPm yangu imejaaa malalamiko ya notifications tuu Vs Jamiiforum na mods
[emoji3][emoji3][emoji3]...
Someone to say hello in my Pm
Nimefuata watu wawili tu pm huku. Mmoja nilitaka anip3 link niangalie kitu na mwingine nimemfuata leo kumuelekeza jinsi ya kuandika pm. Labda wewe ndo nilikuomba ile link zaid ya hapo hamnaa.Mzigua ndo wa kwanza kuniPM humu,nikamsaidia kakitu maisha yakaendelea hata sij,amsumbua mdada wa watu!!
Ukiwa Dume suruali,Sura Mbuzi alafu Domozege hata huna shida napresha za vijana wa leo wakidunia!!!