Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Mzigua ndo wa kwanza kuniPM humu,nikamsaidia kakitu maisha yakaendelea hata sij,amsumbua mdada wa watu!!
Ukiwa Dume suruali,Sura Mbuzi alafu Domozege hata huna shida napresha za vijana wa leo wakidunia!!!
 
Mzigua ndo wa kwanza kuniPM humu,nikamsaidia kakitu maisha yakaendelea hata sij,amsumbua mdada wa watu!!
Ukiwa Dume suruali,Sura Mbuzi alafu Domozege hata huna shida napresha za vijana wa leo wakidunia!!!
Nimefuata watu wawili tu pm huku. Mmoja nilitaka anip3 link niangalie kitu na mwingine nimemfuata leo kumuelekeza jinsi ya kuandika pm. Labda wewe ndo nilikuomba ile link zaid ya hapo hamnaa.
 
Back
Top Bottom