Tuliozaa nje ya ndoa tukutane hapa, tujadili changamoto tunazokutana nazo

Mara paaap,.huyo mtoto ulozaa na mkeo nae ni wa chalii flan hivi hapo kitaa...nayeye anasema mpaka mbingu zishuke hutojua...πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umesahau kusema watoto wengine wapo kwenye ndoa za mama zao. Ile ya kitanda hakizai haramu
 
Chukulia hao wanawake wangekuwa ni uwekezaji umefanya, halafu geuza story yako yote ikae kwenye mfumo huu halafu utupe majibu
 
Kuna kipindi nilidhamiria kuwa na mtoto/watoto nje ya ndoa. Yule mwanamke anaringa sana, hata sasa nadhani bado anaringa sana. Nilivyoona mambo yatakuwa mengi nikaahirisha hadi leo wazo langu limekufa na halifufuki tena.

My love Atoto umeshalala?
 
Kuzaa ni baraka, nawashanga na namshngaa mleta uzi, eti kuzaa nje ya ndoa! Unamfahamu Suleman wa Biblia? Unamfahamu uzao wa Yuda, unayosikia mfalme wa Yuda, kizazi cha Yesu mwenyewe, kwa ulokole wenu, mnaweza sema ni dhambi tupu! Hakuna dhambi kwenye kuzaa! Zaa tunza watoto.

Unachokosea ni kutowaunganisha watoto wajuane wakiwa wadogo! Wachangamane! Bila hivyo huko mbeleni, linaweza kukufadhaisha sana.
 
Bado logic ya kumficha mkeo siioni.
Ujue nini mkuu, hao watoto ni damu yako, sasa unapoficha ficha ni kwamba unamgwaya mkeo atakutenga?
Hatuna mwamana na Sir god kuhusu kifo.
Likitokea hilo huwaga kuna fujo sana kwenye misiba ya washikaji, ama hao watoto kutotambuliwa kuwa ni wa kwako. Jitahidi sana kiongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…