Umewahi kutengeneza AI hata moja ya kwako wewe km wewe? Nisije nikawa nabishana au najenga hoja na mtu alieishia kusoma kwenye makaratasi tuAI inafanya tu kile akili ya binadamu imeifanya ifanye...... sio nje ya hapo
Umewahi kutengeneza AI hata moja ya kwako wewe km wewe? Nisije nikawa nabishana au najenga hoja na mtu alieishia kusoma kwenye makaratasi tu
Nimewahi kutengeneza AI ya kwangu mimi km mimi kwa hio naelewa ninachokwambia issue ya movies na theories nimekupa km mfano wa kujifunza si kwamba ndio inakupa kila kitu Ila utapata uelewa AI ni nini? Nazungumzia kwa mtu ambae aelewi kuhusu AI
Turudi kwako umewahi tengeneza AI na ilikua inahusu nini na ulifika wapi katika ubunifu wako wa AI?
Mkuu AI zote unazoziona na utakazoendelea kuziona muundaji Creator na MUNGU wa AI ni Binadamu kwa hio panua bongo yako na kingine Cha kukuongezea AI sio binadamu AI ni mfumo wa program za data unaoundwa na binadamu kurahisisha kazi tofauti tofauti za binadamu, na kingine nikupanue ubongo kwa usichokijua AI haiwezi kufanya kazi au kufanyia kazi Jambo ambalo haijalishwa na programmersAiseee
Kwa AI imzidi akili binadamu?
AI ina limit kubwa sana ya vitu inavyoweza “kujifunza”
Akili ya binadamu haina ukomo wa kujifunza
AI inategemea kwa asilimia 100 AKILI za binadamu na inafanya yake tu Akili ya binadamu imeilisha kufanya..
AI inatoa tu kile ilicholishwa kwa UFASAHA na HARAKA kuliko akili ya binadamu
Akili ya binaadamu inaongozwa vitu kama utashi na hisia, vitu ambavyo AI haina
Hata wasiotengeneza wanachangia Ila usichangie kujionyesha kanakwamba umewahi kutengeneza AI kumbe hata kuwahi hujawahi na hujui unaanzia wapi kutengenezaKumbe humu mnachangia mlio wahi kutengeneza AI
Sorry mkuu nimeingia chakike[emoji120]
U nailed it man...[emoji1420]Mkuu AI zote unazoziona na utakazoendelea kuziona muundaji Creator na MUNGU wa AI ni Binadamu kwa hio panua bongo yako na kingine Cha kukuongezea AI sio binadamu AI ni mfumo wa program za data unaoundwa na binadamu kurahisisha kazi tofauti tofauti za binadamu, na kingine nikupanue ubongo kwa usichokijua AI haiwezi kufanya kazi au kufanyia kazi Jambo ambalo haijalishwa na programmers
Mfano: mdogo ili AI ichakate hesabu ya kujumlisha na kutoa lazima uwe imepandikizwa formula ya kujumlisha/kutoa bila hivyo AI haitoweza kufanya hesabu hio ambayo huwekwa na programmers
Km umewahi fanya Coding Java au C# utanielewa au km umepiga Python na PHP utanielewa km upo mkavu hujui hata JavaScript ni nini basi niishie hapa
Computer programmers hawapati shida kuielewa hii content ...Mkuu AI zote unazoziona na utakazoendelea kuziona muundaji Creator na MUNGU wa AI ni Binadamu kwa hio panua bongo yako na kingine Cha kukuongezea AI sio binadamu AI ni mfumo wa program za data unaoundwa na binadamu kurahisisha kazi tofauti tofauti za binadamu, na kingine nikupanue ubongo kwa usichokijua AI haiwezi kufanya kazi au kufanyia kazi Jambo ambalo haijalishwa na programmers
Mfano: mdogo ili AI ichakate hesabu ya kujumlisha na kutoa lazima uwe imepandikizwa formula ya kujumlisha/kutoa bila hivyo AI haitoweza kufanya hesabu hio ambayo huwekwa na programmers
Km umewahi fanya Coding Java au C# utanielewa au km umepiga Python na PHP utanielewa km upo mkavu hujui hata JavaScript ni nini basi niishie hapa
Kweli mkuu programmers ni rahisi sana kuelewa,Computer programmers hawapati shida kuielewa hii content ...
Mkuu AI zote unazoziona na utakazoendelea kuziona muundaji Creator na MUNGU wa AI ni Binadamu kwa hio panua bongo yako na kingine Cha kukuongezea AI sio binadamu AI ni mfumo wa program za data unaoundwa na binadamu kurahisisha kazi tofauti tofauti za binadamu, na kingine nikupanue ubongo kwa usichokijua AI haiwezi kufanya kazi au kufanyia kazi Jambo ambalo haijalishwa na programmers
Mfano: mdogo ili AI ichakate hesabu ya kujumlisha na kutoa lazima uwe imepandikizwa formula ya kujumlisha/kutoa bila hivyo AI haitoweza kufanya hesabu hio ambayo huwekwa na programmers
Km umewahi fanya Coding Java au C# utanielewa au km umepiga Python na PHP utanielewa km upo mkavu hujui hata JavaScript ni nini basi niishie hapa
Ndio maana ukifuatilia kwa makini utagundua kiundani kwanini ikaitwa Internet of Thing's kwa lugha nyingine, ni inahusisha sana AISijui kwanini akili yangu inaniambia kuwa AI will always be for funny. Sijui kwanini siamini mtu akitaka kufanya kitu serious atafikiria kifanywe na mtu sio AI. Sijui kwanini.
Nimejaribu kuelezea pale uliposema kuhusu HISIA nikasema acha nikufafanulie uelewe walau kwa upana kidogo, ingawa ndicho ulichomaanisha Ila kuna pahala ulikua unakwama kuelewa ukisema kua 🤖 wataitawala vipi dunia ikiwa akili ya robot inawekwa na mwanadamu robot atawezaje kumzidi mwanadamu akili? Kwa sababu kuna features nyingi sana za binadamu ambazo robot hana ukilinganisha na mwanadamu, mfano mdogo robot hawezi kuhisi au hawezi kusikia harufu fulani au hawezi kuonja radha ya chakula, hawezi kutofautisha joto na baridi, unachokisahau ni kwamba mwanadamu amepewa kalama ya uumbaji na uundaji, na hivyo vyote vinavyokufikirisha na kukushangaza mwanadamu anaweza kuvihamishia kwa robot na akakuacha ukashangaa imewezekanaje ?Mkuu ulicho andika hapa ndio ninacho maanisha mimi pia
Kuna movie moja ya muda ni series inaitwa Revolution, the day of blackout.Na wengine wanaema inaweza kuja kutawala kwa maana itaanza kumgimea binaadamu na kuamua itakavyo yenyewe
Uko sio kuzidiwa akili ni kuharibika kwa mfumo.tutofautishe akili kwa maana maarifa na kuharibika kwa kitu.Ata binadamu wanaharibika mfumo wao wa akili nakuact tofauti ndo maana kuna vichaa.Facebook walitengeneza robots zao mbili lakin walilazimika kuzizima baada ya kuwazidi akili kwa kubuni lugha yao ambayo hakuna binadamu aliyeweza kuitambua zaidi Yao tu (robots)
Unachokieleza wewe hakipo na hakitakuwepo.Binadsmu ni zaidi ya mashine kwenye kila kitu.Sipingani na ulicho andika
Rudia tena kusoma nilicho andika badala ya kukaza fuvu[emoji88][emoji88][emoji3517] mkuu!
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Hiyo sio akili.Aliyekiunda ndiye mwenye akili kwasababu ndiye aliyeanza kufikiria kwanza.hayo mengine ni fault ambazo zipo kila mahali duniani.Mfumo wowote ukiwa corupted unaweza kuleta madhara.Kuna nyuklia huko, ina nguvu ya maangamizi ambayo binadamu hakutegemea kama asingeweza kudhibiti madhara yake, hata baada ya mlipuko, tena kwa miaka miiiiiiiiiiiingi sana! Achilia mbali hili wanalo liunda sasa
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Chochote kilichotengenezwa na binadamu hakiwezi kuwa na uwezo kuliko binadamu.Msingi wa kila kitu ndio kitu chenyewe.kwa mfano gari kua na nguvu na uwezo wakukimbia kuliko binadamu haimaanishi kua hilo gari lina nguvu na akili kuliko binadamu.kwasababu mawazo ya binadamu ndiyo yaliyotangulia kwanza kufika kwenye uwezo wa mwisho wa hivho chombo ndipo akarudi kukitengeneza na kuweka hizo nguvu na uwezo kwenye gari.Binadamu wanatengeneza mashine ili wajirahisishie kazi sio ili ziwazifi akili kwasababu hicho kitu hakitatokea.AI inamtegemea binadamu kwa asilimia 100
AI inauweza mkubwa wa kufanya vitu ilivyolishwa kwa haraka na uhakika kuliko binaadamu.... LAKINI haitakaa itokee AI ikatawala dunia kwa kufanya itakavyo NEVER