Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hujajibu unaliza jibu kwanza...Nakurahisishai swali Je AL hiawezi kufanya kazi kama Robot?We jamaa kwani Google bots ni nini? Emu tuanze hapo kwanza maana naona bado unapuyanga? What's Google bots? Usi-google
udini tena maana ushahindwa 😂😂😂Wavaa cobaz hamjawahi kuwa na akili
Nimehamia huko naona washakubonyeza kisogoudini tena maana ushahindwa 😂😂😂
Ndiyo hivyoTatizo sio material (vifaa) tu Ila tatizo lingine lililojificha ndani ya ukosefu wa materials (vifaa) ni umasikini vifaa vingi ni gharama, watu wa chini wenye ujuzi hawawezi ku-afford vifaa vinavyouzwa gharama ya juu
Njoo hapa Unaijua Al wewe au unajua chatGpt tu ...Mshamba mkubwa😂😂Nimehamia huko naona washakubonyeza kisogo
Mkuu mimi nafanya nw project ya deep learning computer vision convolutions Neural Networks(CNN) by transfer learning.Njoo hapa Unaijua Al wewe au unajua chatGpt tu ...Mshamba mkubwa😂😂
Sasa jifunze kuwa na upeo wa kuelewa hata robotic hujui basi tulia fuata syllabus ya kwenu kwani imekulazimisha?...Unafanya project gani ?hata kujua kwa undani hamna kitu au copy na paste ndo elimu ya bongo.Mkuu mimi nafanya nw project ya deep learning computer vision convolutions Neural Networks(CNN) by transfer learning.
Siishii kuangalia movies na kugoogle kama wewe.
Mkuu hata robotics hujui ni nini ndio maana umeshindwa kujua automation.Sasa jifunze kuwa na upeo wa kuelewa hata robotic hujui basi tulia fuata syllabus ya kwenu kwani imekulazimisha?...Unafanya project gani ?hata kujua kwa undani hamna kitu au copy na paste ndo elimu ya bongo.
yaani Al watu wanatumia we umakariri
Nan asiyejua automation mara usema robotic na utomation ...Ukweli mchungu hauna point umejifunza kwangu ulikuwa hujui we fuata syllabus bado mwanafunzi 😂😂😂AL ni pana sana we fuata syllabus yako ufaulu ila hujui chochote kuhsu Al mwenzio kakimbia nyie bado wanafunzi mnafundisha deep learning na machine learning...Mkuu hata robotics hujui nini ndio maana ukeshindwa kujua automation.
Kwa kheri mkuu
We jamaa nilichokugundua akili yako nzito sana na pia unapenda ubishani usio na faida, nakushauri achana na haya Mambo fanya mambo mengine,Hujajibu unaliza jibu kwanza...Nakurahisishai swali Je AL hiawezi kufanya kazi kama Robot?
Robot wa google anatembea wa wapi we?
Sawa mkuu ngoja tukuache unaye juaNan asiyejua automation mara usema robotic na utomation ...Ukweli mchungu hauna point umejifunza kwangu ulikuwa hujui we fuata syllabus bado mwanafunzi 😂😂😂AL ni pana sana we fuata syllabus yako ufaulu ila hujui chochote kuhsu Al mwenzio kakimbia nyie bado wanafunzi mnafundisha deep learning na machine learning...
Si useme hapa ...Bado mwanafunzi hujui kitu angalia muulize mwalimu wako bado mwanafunzi acha kuropokaWe jamaa nilichokugundua akili yako nzito sana na pia unapenda ubishani usio na faida, nakushauri achana na haya Mambo fanya mambo mengine,
Bora umpotezee jamaa bado yupo empty ana mengi ya kujifunza kinachomponza kujifanya kujua kwingi hilo ndio tatizo badala aombe kujifunza anataka kujifanya yeye ndio anajua sana,Mkuu hata robotics hujui ni nini ndio maana umeshindwa kujua automation.
Kwa kheri mkuu
hujui kitu si useme robotic ipo haipo nyie madogo wanafunzi mmekutana ebu kufanyeni mitihani huko ubishi kibao.Bora umpotezee jamaa bado yupo empty ana mengi ya kujifunza kinachomponza kujifanya kujua kwingi hilo ndio tatizo badala aombe kujifunza anataka kujifanya yeye ndio anajua sana,
Sitaki battle ya maneno na wewe, wenzako hua nawakalisha kwa vitendoSi useme hapa ...Bado mwanafunzi hujui kitu angalia muulize mwalimu wako bado mwanafunzi acha kuropoka
Wewe ni empty case yaan kuna kijiswali nimekuuliza umekiruka nikakugundua kua wewe kichwani hazimo,hujui kitu si useme robotic ipo haipo nyie madogo wanafunzi mmekutana ebu kufanyeni mitihani huko ubishi kibao.
Vitendo vip leta hoja! uzitoe wapi syllabus imekulimit hujui zaid maskini ya Mungu bado mwanafunzi.Sitaki battle ya maneno na wewe, wenzako hua nawakalisha kwa vitendo
ulijibu langu wapi lionyeshe hapa Bongo kuna mtaaalamu Al ?toa ujinga wako Hata uende chuoni kwenu hao maprofessor wako hwajui kituWewe ni empty case yaan kuna kijiswali nimekuuliza umekiruka nikakugundua kua wewe kichwani hazimo,
Usinipotezee muda
Wewe sio kila unaemuona anaizungumzia computer ni mwanafunzi mwenzio kua na nidhamu kijana,Vitendo vip leta hoja! uzitoe wapi syllabus imekulimit hujui zaid maskini ya Mungu bado mwanafunzi.
Niambie project yako ya Al na unajua theory kwa teknolojia ipi hapa bongo?Wewe sio kila unaemuona anaizungumzia computer ni mwanafunzi mwenzio kua na nidhamu kijana,