Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Huyu anangoea for funny kujifurahishaBora umpotezee jamaa bado yupo empty ana mengi ya kujifunza kinachomponza kujifanya kujua kwingi hilo ndio tatizo badala aombe kujifunza anataka kujifanya yeye ndio anajua sana,
Penda kujifunza hata kwa usiowafahamua majivuno, dharau, kebei kwa wengine na kujifanya unajua sana hakutokufikisha popoteulijibu langu wapi lionyeshe hapa Bongo kuna mtaaalamu Al ?toa ujinga wako Hata uende chuoni kwenu hao maprofessor wako hwajui kitu
Nan amekataaa kujifunza ! Nimetoa point na hoja wewe zako zipo wapi unaona iabu kusoma kote hujui Al..Penda kujifunza hata kwa usiowafahamua majivuno, dharau, kebei kwa wengine na kujifanya unajua sana hakutokufikisha popote
Penda kujifunza hata kwa usiowafahamua majivuno, dharau, kebei kwa wengine na kujifanya unajua sana hakutokufikisha popote
Nimeshamwelewa hainipi shida uzuri mtu ukisha mwelewa hakisumbui, kuna swali la mtego nimemuuliza baada ajibu hilo swali kisomi au km mtu mwenye professional yake anajibu kijinga nikagundua tu huyu kichwani emptyHuyu anangoea for funny kujifurahisha
nimekuuliza jibu kwanza unaleta swali usiingilie tena sehemu nilipocomment sipend malumbano bila ya hoja kama hauna hoja kaa pembeni...Sitaki shoboNimeshamwelewa hainipi shida uzuri mtu ukisha mwelewa hakisumbui, kuna swali la mtego nimemuuliza baada ajibu hilo swali kisomi au km mtu mwenye professional yake anajibu kijinga nikagundua tu huyu kichwani empty
Wewe empty acha kujifanya ujuaji mwingi nakupa funzo penda sana kujifunza kutoka kwa wengine Mambo ya Tech huwezi kujua kila kitu lazima utapokea ujuzi mwengine kutoka kwa wengine sasa unapojifanya wewe ni mjuaji ndio hapo unajiharibianimekuuliza jibu kwanza unaleta swali usiingilie tena sehemu nilipoconamment sipend malumbano bila ya hoja kama hauna hoja kaa pembeni...Sitaki shobo
Mkuu nilikuwa namsaidia tu kuchangamka genge lakini ni tabla lasa toka mwanzo wa mjadalaNimeshamwelewa hainipi shida uzuri mtu ukisha mwelewa hakisumbui, kuna swali la mtego nimemuuliza baada ajibu hilo swali kisomi au km mtu mwenye professional yake anajibu kijinga nikagundua tu huyu kichwani empty
Haya nifundishe !!Nakupa uwanja kosoa hoja zangu ..jiamini andika points zako kwa kunikosoaWewe empty acha kujifanya ujuaji mwingi nakupa funzo penda sana kujifunza kutoka kwa wengine Mambo ya Tech huwezi kujua kila kitu lazima utapokea ujuzi mwengine kutoka kwa wengine sasa unapojifanya wewe ni mjuaji ndio hapo unajiharibia
Next time unapoulizwa swali la mtego usiliruke maana ukijibu na jibu lako likiwa sahihi hapo ndipo unapojipambanua kua weewe unajua Ila ukiruka basi inaonyesha wazi wewe ni empty (kilaza)Haya nifundishe !!Nakupa uwanja kosoa hoja zangu ..jiamini andika points zako kwa kunikosoa
Nasubiria toa somo !Maneno huna hujualo andika hapo sasa
ππMbona hutoa facts za kunipinga nipo hapa hamna facts ππ mwenzio karukia kweny udini.Next time unapoulizwa swali la mtego usiliruke maana ukijibu na jibu lako likiwa sahihi hapo ndipo unapojipambanua kua weewe unajua Ila ukiruka basi inaonyesha wazi wewe ni empty (kilaza)
Hakuna haja ya kupotezeana muda, we nmekwambia fanya Mambo mengine achana na hizi Mambo hilo ndio la maana nimekushauriππMbona hutoa facts za kunipinga nipo hapa hamna facts ππ mwenzio karukia kweny udini.
Toa point zako hapa watu wajifunze kwamba mmi sijui kutokana na maelezo yangu nimekupa swali hujajibu eti unauliza!!
ππππππππππkabane cd na kuingiza nyimbo kweny flash hauna hoja .Hakuna haja ya kupotezeana muda, we nmekwambia fanya Mambo mengine achana na hizi Mambo hilo ndio la maana nimekushauri
Niliiambia ChatGPT initengezee program ndogo ya kutafuta namba witiri na shufwa ikatoa jibu kwa muda wa sekunde! Ili-code program kwa kasi ya ajabu.Kuna mjadara unaendelea space kutoka kwa wataalam wa teknolojia bunifu ya akili bandia, nimejiunga kupata kitu na nimelegea kiakili zaidi baada ya kuona mambo yanayokuja.
Kwa mfano katika muundo unaokimbia sasa hivi ni Artificial Intelligence (AI) inaweza kufanya kitu unachowaza au kubuni kitu zaidi hata kuliko mtu aliyekaa kwenye kiti akiwa na computer akijenga picha na kuipa nakshi.
AI inaweza kukufanyia hiyo kazi kwa muda mfupi na kwa ubora mkubwa kuliko wako.
Kwanza angalia hizi picha hapa ππΎ ni kazi ya AI na ahkuna mkono wa mtu hapo.
View attachment 2580010
View attachment 2580013
Mpaka hapo nikawakumbuka jamaa zangu wapiga picha akiwepo jamaa yangu mmoja yupo Dodoma, kwamba itakuwaje kwa hali hii kama hatajiongeza kufikilia kuwa mkulima'?.
View attachment 2580018
View attachment 2580022
Kumbuka kila siku kabla jua alijachomoza kuna ujuzi mpya, wakati sisi tunafikilia kuomba msaada wa kujenga choo, wenzetu wanatumia AI aweze kufanya ujenzi wa tunnel la kuhifazia uchafu wako.
View attachment 2580030
Nilimaliziavkwa kusoma moja ya komenti ya mdau pale kwenye space akiuliza...
View attachment 2580044
Wataalam wetu sijui wako wapi? naishia hapa ila naiwaza kesho.
==============
Wakuu naongezea na hii sinema, ukiweza kuangalia hadi mwisho utaelewa, nimeiweka hapa kutokana na maswali kutoka kwa wadau.
Hatari!Niliiambia ChatGPT initengezee program ndogo ya kutafuta namba witiri na shufwa ikatoa jibu kwa muda wa sekunde! Ili-code program kwa kasi ya ajabu.
Ndivyo walivyokukaririsha ?ππππππππππkabane cd na kuingiza nyimbo kweny flash hauna hoja .
Ndivyo walivyokukaririsha ?
Nataka hoja zako hapa!! sio kelele sijui unaelewa kweli kiswahili mbona naleta hoja hata nenda kagoogle .Ndivyo walivyokukaririsha ?