Tuliposema Emmanuel Nchimbi hana Ushawishi tulipuuzwa, Sasa angalia hii

Hawana cha kukufanya, Jumamosi siku ya mapumziko, watu wanafanya shughuli zao binafsi, waulize kama watakulipa fidia kwenye hasara utakayopata shughulini kwako?
 
Figisu Act of Tanzania.

Vinginevyo sio kosa!
 
Iko vizuri kwenye propanda.
Kama hao CCM hawajakuona wajitafakari.

ILA MIMI WASINGELINIONA KWENYE HUO MKUTANO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…