Tuliwaambia kugusa NATO ni kufuru, Urusi ajitetea sana hakuhusika na shambulizi la Poland

Tuliwaambia kugusa NATO ni kufuru, Urusi ajitetea sana hakuhusika na shambulizi la Poland

kwann wanalipua bembea za watoto huko Ukraine na hawakatai ? kwann wanalipua makaz ya watu na hawakatai ?
Sasa wakifanya wakatae ili iweje wakati wamefanya ?, Kwao wanaona NATO kujiingizia / Kujisogezea kwa kupita Ukraine ni Hatari kwa Security ya Russia Kwahio wameamua kuhakikisha hilo halitendeki na wanachokifanya wamekifanya..., Kwa logic yako hata kesho Chizi mmoja akilipua Shule huko Marekani waseme ni wenyewe ? Au ile Ndege iliyoanguka Bongo juzi na yenyewe waseme wamefanya ?

Hio ilikuwa ni Playbook ya Al-Qaeda na iliwasaidia katika recruitment Russia will have nothing to gain by claiming such things especially in times of Wars of Propaganda...
 
Mrusi hawezi kupigwa kama yule mwarabu wa Iraq, huyu ni mzungu mwenzao ni vile tu Putin kajifanya kichwa maji, ila Warusi sio mazombi ya kiislamu, nyie tu ndio mnawaabudu mkidhani mnakomoa Marekani. Wazungu hawatakubali kumsambaratisha sana....
Hizi u turn mnazopiga ni hatari aisee!
 
Biden ameshaogopa na keleza kuwa kombola hilo halikutoka Russia baada ya majeshi ya Russia kutumia makombora 85 kushambulia vitu vya nishati vya Ukraine.
Inavyoelekea Containment Policy ya US dhidi ya Russia inaelekea kufeli.
 
Kila siku humu pro-Russia wanasema Urusi anapigana na mataifa ya NATO, tumekua tukijibu kwa kuwaambia siku moja ateleze aguse hata kakijiji ka taifa ndani ya NATO ndio mje mseme, sasa kuna kombora limepiga shambani kwenye mpaka wa Poland na kuua watu wawili, Urusi wamekimbilia kukatalia mbali kwamba sio wao walishambulia, wametumia nguvu nyingi sana kujitetea, uchunguzi unafanywa ndio ifahamike nini cha kufanywa baada ya hapo....
Urusi wanasema aliyefanya hilo shambulizi anataka kuwachongea kwa NATO
========================

Russia's defence ministry on Tuesday denied reports that Russian missiles had hit Polish territory, describing them as "a deliberate provocation aimed at escalating the situation".

It added in a statement: "No strikes on targets near the Ukrainian-Polish state border were made by Russian means of destruction."

Wreckage reportedly found at the scene "has nothing to do with Russian weapons", it said.
hizo propaganda, huwezi kurusha missile kwaa kukusudia ukaua wawili. Hiyo sio kweli.
 
Putin atajuta kuanzisha vita
Putin anafurahia tu show, huyo ndio Vlast Mir Mtawala wa Dunia.
We hujiulizi kwa nini US na wadau wake kwanini walizishinikiza nchi za Afrika kutoa msimamo wao, wakati walipo ivamia Libya wao waafrika hawakuulizwa misimamo yao, ambapo ndio mdau wao na mwenzi wao kikanda.
 
Kila siku humu pro-Russia wanasema Urusi anapigana na mataifa ya NATO, tumekua tukijibu kwa kuwaambia siku moja ateleze aguse hata kakijiji ka taifa ndani ya NATO ndio mje mseme, sasa kuna kombora limepiga shambani kwenye mpaka wa Poland na kuua watu wawili, Urusi wamekimbilia kukatalia mbali kwamba sio wao walishambulia, wametumia nguvu nyingi sana kujitetea, uchunguzi unafanywa ndio ifahamike nini cha kufanywa baada ya hapo....
Urusi wanasema aliyefanya hilo shambulizi anataka kuwachongea kwa NATO
========================

Russia's defence ministry on Tuesday denied reports that Russian missiles had hit Polish territory, describing them as "a deliberate provocation aimed at escalating the situation".

It added in a statement: "No strikes on targets near the Ukrainian-Polish state border were made by Russian means of destruction."

Wreckage reportedly found at the scene "has nothing to do with Russian weapons", it said.

Haya kalale
 
Akibainika ni yeye mbona analo, natamani sana iwe hivyo ili huu upuzi uishe mapema.
Ulaya patachafuka mzee,na hii njaa itazidi Mara dufu,hakuna LGBTQ atakayethubutu kushambulia Russia waziwazi
 
Kwasababu Moscow imegeuzwa majivu sio 😂
Acha kuwa na akili mgando sasa moscow imegeuzwa majibu we unafaidika na nn yaan wabongo sisi tunashangilia vitu ambavyo cyo hata vya kushangilia halqfu usikute ww ni baba wa mtu kutwa jf kulumbana kuhusu vita
 
Acha kuwa na akili mgando sasa moscow imegeuzwa majibu we unafaidika na nn yaan wabongo sisi tunashangilia vitu ambavyo cyo hata vya kushangilia halqfu usikute ww ni baba wa mtu kutwa jf kulumbana kuhusu vita
Hebu soma tena nilichoandika alafu ufute hii.
By the way unapajua Moscow?
 
Hizi u turn mnazopiga ni hatari aisee!

Maarabu ndio nilishakuambia hupaswa yapigwe maana yana uzombi wa kiislamu, ila kwa wazungu, kiaina wanalegeza.
 
Kila siku humu pro-Russia wanasema Urusi anapigana na mataifa ya NATO, tumekua tukijibu kwa kuwaambia siku moja ateleze aguse hata kakijiji ka taifa ndani ya NATO ndio mje mseme, sasa kuna kombora limepiga shambani kwenye mpaka wa Poland na kuua watu wawili, Urusi wamekimbilia kukatalia mbali kwamba sio wao walishambulia, wametumia nguvu nyingi sana kujitetea, uchunguzi unafanywa ndio ifahamike nini cha kufanywa baada ya hapo....
Urusi wanasema aliyefanya hilo shambulizi anataka kuwachongea kwa NATO
========================

Russia's defence ministry on Tuesday denied reports that Russian missiles had hit Polish territory, describing them as "a deliberate provocation aimed at escalating the situation".

It added in a statement: "No strikes on targets near the Ukrainian-Polish state border were made by Russian means of destruction."

Wreckage reportedly found at the scene "has nothing to do with Russian weapons", it said.
NATO is not GOD's ARMY, NATO can be defeated as long as GOD wishes , You remember in Libya NATO caused deaths of civilians (more than 300,000 civilians)

NUCLEAR WAR has no WINNER ....Joe Biden at his knowledge accepted that there is No winner in NUCLEAR WAR

Elon Mask ambaye ni Genius kuliko wewe alisema NATO inaweza ikaondoka ndani ya DAKIKA 30 NA URUSI inaweza ikachakazwa na NATO in 30 MINUTES

TUNAKEMEA vita tunakemea WACHOCHEZI WA VITA pia

UKRAINE WATU wanaishi kwa shida kila siku makombora hawalali hawana amani wanashindwa kufanya mazungumzo sababu ya UCHOCHEZI wa NATO

ILI kuwa ni raisi zaidi kumtoa URUSI ukraine kwa mazungumzo kuliko kwa VITA


RUSSIA has nothing to LOSE this time wamesha jichokea vikwazo vyotee wanavyo wanaishi maisha magumu HAWATAONA SHIDA kutumia NUCLEAR ukraine

TUNA ENDA WAPI??? ....
 
NATO is not GOD's ARMY, NATO can be defeated as long as GOD wishes , You remember in Libya NATO caused deaths of civilians (more than 300,000 civilians)

NUCLEAR WAR has no WINNER ....Joe Biden at his knowledge accepted that there is No winner in NUCLEAR WAR

Elon Mask ambaye ni Genius kuliko wewe alisema NATO inaweza ikaondoka ndani ya DAKIKA 30 NA URUSI inaweza ikachakazwa na NATO in 30 MINUTES

TUNAKEMEA vita tunakemea WACHOCHEZI WA VITA pia

UKRAINE WATU wanaishi kwa shida kila siku makombora hawalali hawana amani wanashindwa kufanya mazungumzo sababu ya UCHOCHEZI wa NATO

ILI kuwa ni raisi zaidi kumtoa URUSI ukraine kwa mazungumzo kuliko kwa VITA


RUSSIA has nothing to LOSE this time wamesha jichokea vikwazo vyotee wanavyo wanaishi maisha magumu HAWATAONA SHIDA kutumia NUCLEAR ukraine

TUNA ENDA WAPI??? ....

Hili liinsha lote unaandika la nini, nani kasema NATO ni Mungu, huyo Putin mnayemuabudu zaidi ya mtume mbona asikae kwake aache kunyanyasa viinchi vidogo vidogo majirani zake, anajimegea ardhi yao halafu huna aibu ya kutaja jina la Mungu.
 
Mwenzake China aligundua mapema.

Ila najua China pamoja na North Korea kama sio 2025 basi 2030 zitaingizwa vitani ili kupunguzwa nguvu
Trump alisema hasingekuwa yeye ndiye Rais wa USA basi mwaka 2019 walikuwa wanaivamia North Korea!
 
Hao NATO wanajamba jamba tu kama kawaida ya watu wa upinde.. walisema watamsaidia Ukraine kumpiga urusi, mpaka leo wako wapi!? Ndo kwanza wamemkatalia Ukraine kujiunga na NATO asije akawaingiza matatizoni wakapigwa na mrusi
 
Back
Top Bottom