‘Tuma kwa namba hii’ wapatiwa muarubaini, mwisho wao umefika

‘Tuma kwa namba hii’ wapatiwa muarubaini, mwisho wao umefika

Agent-Principal Relationship Theory.

Watoa huduma za mitandao ya simu (Service Provider, SP) ambao Mawakala wao wamefanya Uhalifu huo wa kusajili SIM card za uhalifu wanapaswa kuwajibishwa na kuadhibiwa kwenye suala hili la wizi au utapeli wanaofanyiwa wananchi. Hii itakuwa fundisho kubwa sana kwao
Exactly 💯
 
Ni wazi dhahiri umecomment bila kusoma uzi. (Ulichofanya Ni utaahira kuliko utaahira wenyewe).

Anyway

Kwa laini zilizosajiliwa baada ya kuanza kwa kanuni hii, utasemaje laini huitambui wakati uliweka finger print mwenyewe?! (Kumbuka, usajili ni laini moja tu kwa mwezi), Kama ulimsajilia ndugu yako, tupeleke kwake!
Nimecomment kulingana na utaila ulio uandika,.

Kwahyo ulivyo kichwa box unaona huo ndio mwaroban.
 
IMG_2106.jpeg
 
"Tuma kwa namba hii" bado wapo. Leo mimeipokea message tatu tofauti zenye ujumbe huo. Pia nimepata ujumbe mara tatu kuhusu mganga ambaye hujifanya kakosea namba ya simu ya mwijukulu wake ambaye amefanikiwa kwa kutumia dawa zake. Ni aibu iliyoje pamoja na kujigamba kwamba wamefanikiwa kuondoka matatizo haya, ndio kwanza yanazidi kushamiri. Kwa upande wa teknolojia ya mawasiliano, sisi bado sana.
 
Back
Top Bottom