Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ana uelewa mdogo Sana kwenye masuala haya aliyoleta hapa.Huwezi kufanya hivyo kwa sababu watu wana clone namba za simu. Hujawahi kuambiwa wat wanapata messege toka namba yako wakiomba helana wewe hujatuma hizo mesjesi? Sasa huoni utafungia watu NIDA wasio na hatia? Kwa hiyo pendekezo lako ni null and void, asante hata hivyo kwa kujaribu
Sasa ukibadilisha fingerprint yako si itakataa kusomana na ile iliyopo NIDA? Utasajili vipi laini sasa?Siku hizi teknolojia imekuwa Sana, suala la fingerprints technology pia Sasa Lina muarabaini wake, kwa nchi za wenzetu walioendelea kiakili, kwa Sasa upo uwezekano wa mtu kuweza kurekebisha au kubadili kabisa fingerprints zake. Teknolojia hii tayari ipo, mwaka 2017 nikiwa kwenye nchi Fulani X, nilihudhuria mojawapo ya Mkutano wa Wataalamu kutoka UNESCO, ulikuwa Mkutano Maalumu kwa ajili ya kumpongeza na kumtambua Mgunduzi wa Teknolojia hiyo ya Mtu kuweza Kurekebisha na/au kubadili Fingerprints, Mgunduzi huyo wa teknolojia hiyo alikuwa kijana kabisa wa umri wa miaka 28 tu kwa wakati huo, ambaye pia alikuwa Mtafiti Mwanafunzi, na kwa kazi take hiyo kubwa ya Ugunduzi wa Teknolojia hiyo Mpya hapa duniani, pia aliweza kutunukiwa Uprofesa akiwa miongoni mwa watu ambao bado ni vijana wadogo zaidi hapa duniani kwa Karne hii ya 21. Jopo la Watqalamu wa UNESCO walitambua mchango wa Mgunduzi huyo kwa kazi yake hiyo.
Kwa kutumia kanuni hii mpya, hayo yote yatakomeshwa!Usajili wa line mpya za simu haujathibitiwa. Vijana wengi mno mitaani wasion hata na ofisi zijulikanazo hufanya shughuli hii. Ndio maana sio ajabu kitambulisho kimoja cha NIDA kinaweza kutumika kutoa line za ziada za simu pasipo mwenye line kujua - wanajifanya mashine haikusoma mara ya kwanza.
Usability uwe sio kiholela ilivyo sasa.
Hakuna uhuru wowote wa mawasialiano unaobanwa kwa mtu kusajilishwa laini moja kwa siku…, kwani ukisajili leo laini moja, halafu kesho nyingine kwa ajili ya usalama wako, kuna tatizo gani?Hiyo akili iliyozuia vpn ndio akili hiyohiyo unaiendeleza hapa, na ungekuwa na sauti jf ungeshinikiza kusajili users wa jf kwa majina halisi bila kujua haki ya anonymity ni uhuru binafsi. Mzee Ayo Kuibiwa ni suala moja kubana uhuru wa kujieleza na mawasiliano ni suala jingine.
Wala hawajui, wanarusha jiwe gizani randomly, litakaempata ndio huyo huyo.., maana wanatuma kwa namba nyingi sana za kubuni buni tu.., atakayeingia mkenge ndio huyo huyoHawa jamaa wanajuaje mtu kama unafanya muamala aiseeView attachment 3135854
Huwa wanashindwa kuwapata wagusika sababu watu husajilishwa laini za ziada bila wao kujua, hivyo zikifanya utapeli hiwezi kujua ni nani kafanya. Ila kwa kanuni hii mpya hili litafika mwisho!Akili za hovyo hizi. Kama namba inasajiliwa kwa nida na wanashindwa kuwapata wahusika wataweza lipi?
Napenda kukwambia tu,uhalifu hauwezi kuisha hata uweke sheria kutoka china au north korea za kupiga au kuchinja hadharani.Napendekeza kanuni mpya!
Kanuni mpya ni kwamba, NIDA moja hairuhusiwi kusajili zaidi ya namba moja kwa mwezi.
Sasa mtu NIDA yake ikitumika kufsnys utapeli kwa laini iliyosajiliwa baada ya kuanza kanuni hii mpya atatueleza, wakala alimsajilisha vipi namba ya ziada? Maana yake mwenye NIDA ndio tapeli. Na namba zote zaNIDA yake zitafungiwa hadi atoke shimoni akatoe maelezo polisi yeye mwenyewe, wala hatutamtafuta.
NB: haya ni mapendekezo yangu binafsi.
Usivyovijua kubali kushindwa, hujui unachoongelea kwa misingi ya kanuni za haki za kiraia. Na ndio sababu unabadilika badilika umeanza na mwezi, nikakupa scenario ya mwaka ama miaka kumi, umerudi na siku.Hakuna uhuru wowote wa mawasialiano unaobanwa kwa mtu kusajilishwa laini moja kwa siku…, kwani ukisajili leo laini moja, halafu kesho nyingine kwa ajili ya usalama wako, kuna tatizo gani?
Sawa, wacha wabuni mbinu mpya. Ila kwa mbinu za sasa, huu ndio muarobaini.Napenda kukwambia tu,uhalifu hauwezi kuisha hata uweke sheria kutoka china au north korea za kupiga au kuchinja hadharani.
Hata ukipiga marufuku kusajili mwisho line moja tu watu watapigwa kama kawaida...wahalifu "wanabinwu mbwinu" mpya kila siku.
Nilisema toka awali, mwezi ni extreme case niliyotolea mfano, na nikasema hata ikawa laini moja kwa siku bado ni sawa tu, sababu hataweza kukusajilisha laini za ziada bila wewe kujua..Usivyovijua kubali kushindwa, hujui unachoongelea kwa misingi ya kanuni za haki za kiraia. Na ndio sababu unabadilika badilika umeanza na mwezi, nikakupa scenario ya mwaka ama miaka kumi, umerudi na siku.
Exactly 💯Ila huu ujinga unalelewa tu mkuu. Mfano, wangesema kila ambae nida yake imetumika katika namba asiyoijua basi awasilishe hiyo namba na wakala atafutwe ajibu tuhuma hizo lasivyo wakala husika anafungiwa usajili hii na kifungo juu basi michezo ingepungua kwa kiwango kikubwa.
Sema taifa letu na namna za viongozi wetu ni vichekesho.
Sasa mpka uwe mtu wa kufatiliaKwanini usiangalie laini zako ulizosajili kupitia *106# ?
Maana kama kuna number ambayo huitambui na inaonekana umeisajili unaifunga ili isitumike kwenye utapeli.