‘Tuma kwa namba hii’ wapatiwa muarubaini, mwisho wao umefika

‘Tuma kwa namba hii’ wapatiwa muarubaini, mwisho wao umefika

Napendekeza kanuni mpya!

Kanuni mpya ni kwamba, NIDA moja hairuhusiwi kusajili zaidi ya namba moja kwa mwezi.

Sasa mtu NIDA yake ikitumika kufsnys utapeli kwa laini iliyosajiliwa baada ya kuanza kanuni hii mpya atatueleza, wakala alimsajilisha vipi namba ya ziada? Maana yake mwenye NIDA ndio tapeli. Na namba zote zaNIDA yake zitafungiwa hadi atoke shimoni akatoe maelezo polisi yeye mwenyewe, wala hatutamtafuta.

NB: haya ni mapendekezo yangu binafsi.
nina laini za makampuni yote, simu zangu mbili zinabeba laini tatu na nyingine inabeba laini nne ongeza smartphone yenye laini mbili hapo unapata laini ngapi? Zote ziko hewani na zingine ni mbili mbili za mtandao mmoja ila laini yangu ya kazi ni moja tu zilizobaki ni za ziada. Siwezi kusajili laini moja kwa kuwa kuna maeneo huwa nafika hakuna mtandao fulani. Simu tofauti nazo zinatofautiana kunasa network kutokana na umbali wa minara, kwa hiyo suluhisho ni kuwa na laini za mitandao tofauti
 
nina laini za makampuni yote, simu zangu mbili zinabeba laini tatu na nyingine inabeba laini nne ongeza smartphone yenye laini mbili hapo unapata laini ngapi? Zote ziko hewani na zingine ni mbili mbili za mtandao mmoja ila laini yangu ya kazi ni moja tu zilizobaki ni za ziada. Siwezi kusajili laini moja kwa kuwa kuna maeneo huwa nafika hakuna mtandao fulani. Simu tofauti nazo zinatofautiana kunasa network kutokana na umbali wa minara, kwa hiyo suluhisho ni kuwa na laini za mitandao tofauti
Umesoma uzi? Au unacomment tu kama unakimbizwa?

Hukatazwi kusajili laini hata 100, ila sajili moja kwa mwezi.., na hii ni kwa laini mpya baada ya kuanza kutumika kanuni…
 
Cha msingi tupewe option ya kufuta namba zote ambazo zimesajiliwa bila sisi kuzitambua
 
Cha msingi tupewe option ya kufuta namba zote ambazo zimesajiliwa bila sisi kuzitambua
Hiyo option ipo tayari miaka mingi, ila tatizo linaendelea sababu ukifuta wewe, mawakala wanasajili laini za ziada toka kwa watu wengine.., na itachukua muda hadi wao waje kubaini na kuzifuta, ambapo zinakuwa zimeshatumika tayari kutapeli na kuwauwa akina ‘Mzee Ayo’!

Hivyo hiyo kanuni mpya ndio muarobaini
 
kwa hiyo sisi ambao hatujapata nida unataka kutuweka mazingira gani
 
kwa hiyo sisi ambao hatujapata nida unataka kutuweka mazingira gani
Tunawaweka kwenye mazingira ya kwenda kutafuta NIDA., au muombe nduguyo akusajilie, ila ukitapeli sisi tunakufa nae! Hadi atuelekeze ulipo!!
 
Umesoma uzi? Au unacomment tu kama unakimbizwa?

Hukatazwi kusajili laini hata 100, ila sajili moja kwa mwezi.., na hii ni kwa laini mpya baada ya kuanza kutumika kanuni…
Huwezi kuzuia kikatiba haki ya mtu kuwasiliana kwa kutaka tu kupambana na tatizo flani. Yaani kwanini umpangie mwananchi awe na line moja kwa mwezi, kesho wezi wakija na mbinu mpya useme laini moja kwa mwaka keshokutwa wakikuzidi mbinu useme laini moja kwa muongo mmoja?
 
Hemu soma kwa utulivu uliyoandika halafu utagundua una ujinga, pengine unachowaza ujaandika, ndo maana unafikiri ni jambo la maana
 
Napendekeza kanuni mpya!

Kanuni mpya ni kwamba, NIDA moja hairuhusiwi kusajili zaidi ya namba moja kwa mwezi.

Sasa mtu NIDA yake ikitumika kufsnys utapeli kwa laini iliyosajiliwa baada ya kuanza kanuni hii mpya atatueleza, wakala alimsajilisha vipi namba ya ziada? Maana yake mwenye NIDA ndio tapeli. Na namba zote zaNIDA yake zitafungiwa hadi atoke shimoni akatoe maelezo polisi yeye mwenyewe, wala hatutamtafuta.

NB: haya ni mapendekezo yangu binafsi.
Namba nyingine hazijasajiliwa japo zinatumika.
 
Napendekeza kanuni mpya!

Kanuni mpya ni kwamba, NIDA moja hairuhusiwi kusajili zaidi ya namba moja kwa mwezi.

Sasa mtu NIDA yake ikitumika kufsnys utapeli kwa laini iliyosajiliwa baada ya kuanza kanuni hii mpya atatueleza, wakala alimsajilisha vipi namba ya ziada? Maana yake mwenye NIDA ndio tapeli. Na namba zote zaNIDA yake zitafungiwa hadi atoke shimoni akatoe maelezo polisi yeye mwenyewe, wala hatutamtafuta.

NB: haya ni mapendekezo yangu binafsi.
Kwa elfu 50 @,NIDA wamegawa sana vitambulisho hata kwa watu ambao uraia wao ni wa mashaka.
 
Huwezi kuzuia kikatiba haki ya mtu kuwasiliana kwa kutaka tu kupambana na tatizo flani. Yaani kwanini umpangie mwananchi awe na line moja kwa mwezi, kesho wezi wakija na mbinu mpya useme laini moja kwa mwaka keshokutwa wakikuzidi mbinu useme laini moja kwa muongo mmoja?
Mtu akiwa na laini moja ya simu kwa mwezi mmoja tu wa mwanzo, anakosaje mawasiliano?

Hii kusema mwezi ni extreme case tu, ila hata wakifanya laini moja kwa siku, itakuwa bado ni sawa tu, maana wakala tapeli hawezi kukusajilisha laini ya ziada kwa session moja..
 
Kwa elfu 50 @,NIDA wamegawa sana vitambulisho hata kwa watu ambao uraia wao ni wa mashaka.
Sawa, kikubwa si kina finger print? Then tapeli ni huyo mwenye fingerprint, na line zote zenye NIDA ya fingerprint hiyo zitafungwa, hadi ajisalimishe polisi
 
Namba nyingine hazijasajiliwa japo zinatumika.
Sasa kama haijasajiliwa, wakati unatuma pesa, lile jina la unaemtumia pesa linakuja vipi? Na wakati anaenda kutoa pesa aliyokutapeli, lile jina linalotoka pale kwa wakala kwa ametoa pesa, linakujaje sasa?
 
Kwa laini za simu, ukishasajili, huitaji tena kuweka fingerprint ili kuset password yako, hivyo hata asiye mmliki anaweza kutoa pesa toka kwenye laini yenye jina ka mtu mwingine. Umeeleza mengi bila hoja yoyote ya msingi.

Anyway.

Kwa laini zilizosajiliwa baada ya kuanza kwa kanuni hii, utasemaje laini huitambui wakati uliweka finger print mwenyewe?! Kama ulimsajilia ndugu yako, tupeleke kwake!
Suala hili liko nje (juu) ya uwezo wako wa akili. Fanya tena utafiti wa kina ili upate maarifa zaidi.
Anyway, rudia tena kusoma hiyo comment yangu, kuna Maelezo ya ziada nimeyaweka, nadhani utapata Mahali pa kuanzia katika utafiti wako.
 
Number nyingi zinazo Fanya utapeli chazo ni mawakala wa kusajiri laini.

Wale jamaa usipo kuwa makin unaweza jikuta unasajiri hata lain mbili za mitandao tofauti bila wew kujua, Kuna time wanakuzugia mtandao unasumbua kumbe lengo utie fingerprint hata mara mbili.

Ndiyo maana Kuna case ya watu wengi kuuziwa Laini na mawakala zilizo sajiriwa na nida za watu wengine.
Agent-Principal Relationship Theory.

Watoa huduma za mitandao ya simu (Service Provider, SP) ambao Mawakala wao wamefanya Uhalifu huo wa kusajili SIM card za uhalifu wanapaswa kuwajibishwa na kuadhibiwa kwenye suala hili la wizi au utapeli wanaofanyiwa wananchi. Hii itakuwa fundisho kubwa sana kwao
 
Suala hili liko nje (juu) ya uwezo wako wa akili. Fanya tena utafiti wa kina ili upate maarifa zaidi.
Anyway, rudia tena kusoma hiyo comment yangu, kuna Maelezo ya ziada nimeyaweka, nadhani utapata Mahali pa kuanzia katika utafiti wako.
Wewe jibu hoja. Kwa kanuni hii mpya, Mtu anaikataa vipi laini ya simu aliyosajili mwenyewe kwa kuweka fingerprint?!
 
Back
Top Bottom