wakunyonya
JF-Expert Member
- Feb 5, 2024
- 520
- 1,414
Exactly 💯Agent-Principal Relationship Theory.
Watoa huduma za mitandao ya simu (Service Provider, SP) ambao Mawakala wao wamefanya Uhalifu huo wa kusajili SIM card za uhalifu wanapaswa kuwajibishwa na kuadhibiwa kwenye suala hili la wizi au utapeli wanaofanyiwa wananchi. Hii itakuwa fundisho kubwa sana kwao
Nimecomment kulingana na utaila ulio uandika,.Ni wazi dhahiri umecomment bila kusoma uzi. (Ulichofanya Ni utaahira kuliko utaahira wenyewe).
Anyway
Kwa laini zilizosajiliwa baada ya kuanza kwa kanuni hii, utasemaje laini huitambui wakati uliweka finger print mwenyewe?! (Kumbuka, usajili ni laini moja tu kwa mwezi), Kama ulimsajilia ndugu yako, tupeleke kwake!