Tuma Salamu za Krismas kwa watu wawili Unaowapenda sana hapa JF

Ndugu yangu, huwezi kubadilisha ambacho mtu mwingine ana amini. Kuwa mpole amini kile unacho amini, acha mwenzao Aamini kile a nacho amini. Nikuulize swali mbona huoji awanacho abudu Wabudha, Shinto, Hindu, Singh nk nk.?
 
Gang Chomba and Bujibuji
Raraa reree na Nguli
Lara1 and Nyani Ngabu
 
Nawatumia salamu mtoa mada na huyo mtu wake wa karibu. Nawapenda sana
 
Nimeambiwa hapa nisifungue huu uzi kwa kuwa haitegemewi tangu kuumbwa kwa JF nikasalimiwa. Nafkiri ni kiherehere changu tu kuufungua
 
Ndugu yangu, huwezi kubadilisha ambacho mtu mwingine ana amini. Kuwa mpole amini kile unacho amini, acha mwenzao Aamini kile a nacho amini. Nikuulize swali mbona huoji awanacho abudu Wabudha, Shinto, Hindu, Singh nk nk.?
Sihangaiki na wapagani,

Lakini wanaojiita wakristo wa kuigiza, hao ni halali yangu.

Pia ujue Si wote wanajua Kweli kuwa Yale ni masanamu na mafundisho ya Uongo.

ELIMU lazima, maonyo na makaripio!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…