exaud morrey
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 1,024
- 977
Mbaya zaidi maswali nisehemu yamaisha yote ya tundu hawezi ogopa swali lenye jibu lake lakitoto kama hiliTundu lisu yuko majukwa
ani
Tundu Lisu yupo majukwaani anafanya siasa Bukoba, panda jukwaani mpe hilo swali, huku kwenye social media forum tuletee thinking yako na analysis yako juu ya statement zake.
Mwambieni awape majibu yake basi kama hawezi liogopa!Mbaya zaidi maswali nisehemu yamaisha yote ya tundu hawezi ogopa swali lenye jibu lake lakitoto kama hili
unavyojua ila muda huo hana Mama amoni kesha kujibu vizuri haina haja yakuendelea kukaza FuvuKwani hayupo JF? Ninavyojua mimi karibu hawa wanasiasa wakubwa wote wapo JF
Hawa hawa akina mruma na Ossolo kuna mudaliwasifu kwelikweli wenye hekima wakaomgea wakapigwa naleo mnataka kutenheneza mruma mwingine baada yamiaka kadhaa mifano mnayo ila mmeshupa mafuvuPorojo ndeeeefu za kijinga, umeshindwa kujibu swali jepesi tu.
Ndiyo tuseme una macho lakini hayaoni au ndivyo mlivyozowea kuishi namna hiyo, mpaka mnafikia kujidanganya wenyewe? "Swali ni very simple", Tazama hata heading tu ya huu uzi, ndili swali lenyewe.
Naliruduai hapa, hapa hili bandiko lako refu wapi limejibu?
Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
Huna tofauti na wale mawakili wabovu na kina mruma waliokwenda kutuabisha ICSID.
cc: Anna Tibaijuka
Usomege mkataba vizuri
Usomege mkataba vizuri
Mikataba mahsusi ya uwezekaji itasimamiwa na Sheria zetu
View attachment 2702950
Kwani English laws maana yake nini?Naona akili zako tayari zimevalishwa hijabu!
maneno "English Law" maana yake "sheria zetu" sio?
Mfyuuu!
View attachment 2702957
Hijabu ya kiumme...
Kwani English laws maana yake nini?
Huoni hapo chini pia Sheria za Tanzania kwa mikataba mahsusi ya uwekezaji?
Au nikupe miwani?
Wahi milembe tu. Wewe sio mzimaEnglish Law ni sheria za Tanzania zilizovishwa hijabu iliyofungwa kwa hirizi kama hii hapa:
View attachment 2702959
Yaani kawajibu mpakA mmepata hasira sasa mmeamua kumshushia matusi na hilo ndio kimbilio la mpumbavuSasa unawachukia shemeji zako jamani, wamekukosea nini?
Halafu hiyo picha huyo ni mchina, siyo Mwarabu. Hivi huna hata bwana wa Kiarabu mwenzetu?
Leo umetoka mapema kanisani> Au umesepa kabisa?
Anna Tibaijuka
Wahi milembe tu. Wewe sio mzima
Kajbu kilichoulizwa au utumbo? Ukijibu utumbo utegemee nini?Yaani kawajibu mpakA mmepata hasira sasa mmeamua kumshushia matusi na hilo ndio kimbilio la mpumbavu
Nenda milembe tu.Wewe mzima, sio?
Ukija kwa mbinu ya kimsahafu tunatambaa pamoja
Ukija kwa mtindo wa shari vivo hivyo tunakula sahanu moja!
Sasa uwe na adabu.
Sawa?
Hujafikia level hiyo jina lenyewe unaogopa kujulikana leo ukae kwenye mdahalo na tundu mtu wazi asiyeogopa chamsingi weka namba ya simu tukuchangie uende kwenye moja ya mikutano yake upatiwe nafasi yakuuliza swali lako wewe nimuga mmoja wala huna lolote kichwa mzigoMwambieni awape majibu yake basi kama hawezi liogopa!
Kama anataka mdahalo na mimi hapa mwambieni pia kuwa nipo tayari
Ma shaa Allah unaliona handsome hilo, mpaka roho haikukupa imebidi umlete.Naona akili zako tayari zimevalishwa hijabu!
maneno "English Law" maana yake "sheria zetu" sio?
Mfyuuu!
Hijabu ya kiumme..
Saivi ameishia kuwatukana waarabu tu! Kama sio msongo wa mawazo unafikiri nini tena?Kajbu kilichoulizwa au utumbo? Ukijibu utumbo utegemee nini?
Endelea kuishi kwa kukariri tuHujafikia level hiyo jina lenyewe unaogopa kujulikana leo ukae kwenye mdahalo na tundu mtu wazi asiyeogopa chamsingi weka namba ya simu tukuchangie uende kwenye moja ya mikutano yake upatiwe nafasi yakuuliza swali lako wewe nimuga mmoja wala huna lolote kichwa mzigo
Mama Amon leo unataka kuwa anna tbaijuka? Anawapenda kweli waarabu. Leo naona unahamu nao, unatumwagia mapicha ya mahandsome tu. Si uende pale Kempinski wamejaa saaa hivi mahandsome wa DP World wanamaliza maliza mikataba ya uendeshaji wa bandari. Muda wa IGA bado upo lakini, hawana wasiwasi.English Law ni sheria za Tanzania zilizovishwa hijabu ya kiume iliyofungwa kwa hirizi kama hii hapa: