Porojo ndeeeefu za kijinga, umeshindwa kujibu swali jepesi tu.
Ndiyo tuseme una macho lakini hayaoni au ndivyo mlivyozowea kuishi namna hiyo, mpaka mnafikia kujidanganya wenyewe? "Swali ni very simple", Tazama hata heading tu ya huu uzi, ndili swali lenyewe.
Naliruduai hapa, hapa hili bandiko lako refu wapi limejibu?
Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
Huna tofauti na wale mawakili wabovu na kina mruma waliokwenda kutuabisha ICSID.
cc:
Anna Tibaijuka