johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Asikudanganye mtu Tanzania hakuna Wasomi na hata ukiangalia wanaojitahidi ndio hawa Akina Mnyika, Kibajaj na wale vyeti feki ambao wanatumia Uwezo binafsi💯. Kuna groups za WhatsApp ambazo zimesheheni watu tunaojua ni wasomi nchi hii wengine kiwango cha PhD. Ila nikiangalia hoja zao au vitu wanavyopost hususan kwenye saga hili la Bandari, shikamoo FaizaFoxy . Hakika ujinga ndio adui namba moja Tanzania.
Binafsi najiuliza ujinga huu unaondoshwaji ukizingatia wanaojihusisha na huo ujinga tayari wana PhD! Vipi wanashindwa kufanya simple reasoning kiasi wanaburuzwa na kushare vitu vya kipuuzi.
msando bhana...mbona una papara sana ndg?.Nimesema sitaki longolongo.Mimi ni mwanasheria gwiji pia.
Mimi na Msando wapi na wapi?msando bhana...mbona una papara sana ndg?.
Unakubali na nani ? Mimi naongelea Mali za wananchi na mustakabli wa Tanzania sina muda wa kufuatilia personalities Kama jambo ni baya haijalishi unaliita nini....;Kwa hiyo mnakubali kuwa Lissu ni mpotoshaji na mzandiki?
Hao "wasomi" ndiyo wajinga namba moja na wanaendelea kusomesha ujinga.💯. Kuna groups za WhatsApp ambazo zimesheheni watu tunaojua ni wasomi nchi hii wengine kiwango cha PhD. Ila nikiangalia hoja zao au vitu wanavyopost hususan kwenye saga hili la Bandari, shikamoo FaizaFoxy . Hakika ujinga ndio adui namba moja Tanzania.
Binafsi najiuliza ujinga huu unaondoshwaji ukizingatia wanaojihusisha na huo ujinga tayari wana PhD! Vipi wanashindwa kufanya simple reasoning kiasi wanaburuzwa na kushare vitu vya kipuuzi.
Hakuna WATU nchi hii na Hii ilifanywa makusudi na NyerereWatu tunao ila wengi hatutaki kuonekana na wengine hawana nafasi.
Wakati wa Mungu ukifika yatatokea tu
Longolongo againUnakubali na nani ? Mimi naongelea Mali za wananchi na mustakabli wa Tanzania sina muda wa kufuatilia personalities Kama jambo ni baya haijalishi unaliita nini....;
Na mzizi wa huu mchezo mzima kama haya so called makubaliano leaves a lot to be desired; na kesho watakapoingia mkataba husika watafungiana chumbani na mkataba kufungiwa kabatini na hawahawa ambao wamekubaliana vitu vyenye utata - Unategemea watakachoingia mkataba ni kwa manufaa ya Taifa ?
Hata kama leo hatujauzwa, ilitokea kesho tumeuzwa ni nani atajua?
Kinachoendelea Kuna maneno yanapita huku na kule yanachanganya..., wengine wanasema tumeuzwa wengine hatujauzwa; hata wale wanaobisha wengi wao hawana access ya information, zaidi ya hearsay za hapa na pale au fulani kasema na fulani hajasema au kilichoandikwa kinamaanisha hiki na sio kile...www.jamiiforums.com
Kiukweli nimeisoma IGA ya Tanzania na Dubai several times, bado najiuliza upotoshaji huu wa akina Lissu, Slaa nk unatokea wapi? Mbona iko straight forward tu kwa mambo mengi. Ni Mkataba tu au kuna issue nyingine? Kwamba IGA hii ina shida kwenye suala la ardhi? Au ukomo? Kwamba IGA iseme DPW italipa fedha kiasi fulani au itaajiri wafanyakazi idadi flani?? Hakika watanzania katika hili la Bandari tumetia aibu duniani. Tunaonekana vilaza wa kutupwa kwa kushindwa kuelewa vitu basic kama hivi.Tuko page ya 2 hapa. Simuoni Lissu na sioni hata mmoja aliyejibu swali langu.
Naendelea kuwasubiri tu
Mshaanza ujinga wa kukisia.msando bhana...mbona una papara sana ndg?.
Sasa tuwasaidie Watanzania wasiendelee kufanywa wajingaHakuna WATU nchi hii na Hii ilifanywa makusudi na Nyerere
Ndio unakuta Wajinga wanaamini DP World ya Tanzania ni Waarabu😂🔥
Nilishawai itwa Tundu Lissu humu kipingi napinga sera za Magufuli. Hivyo halinishangazi hiliMshaanza ujinga wa kukisia.
Wako wengi hao mpaka unawashangaa. Wengine wanaona wanaotetea ukweli wa IGA eti wanataka teuzi, daah!Mshaanza ujinga wa kukisia.
Naendelea kuwasibiri hapa. Tuko page ya 3 wanaupita uzi kama hawauoniWako wengi hao mpaka unawashangaa. Wengine wanaona wanaotetea ukweli wa IGA eti wanataka teuzi, daah!
Mikataba ipo ya aina mingi, kuna mikataba hawana sifa ya kuiingia. Kwa hivyo usilete porojo za kusema wana uwezo wa kuingia mkataba wowote.Sijaikwepa, nakufahamisha kuwa hata wanasheria wenu uchwara waliliongea hilo mahakamani wakabwagwa, halina mashiko. Dubai wanaweza kuingia mkataba wowote ambao haupo au haujakatazwa kwenye katiba ya muungano wao.
Kwahiyo wewe ni mhutu!Tatizo la Watanzania ni ujinga, hawatopata kitu kama hicho na wataendelea kuwajaza watu ujinga na watu waJF wataendelea kukubishia vitu "irrelevant" kabisa na wataishia matusi na kutukana kila aina waijuwayo.
Niliandika hivi:
Tanzania tuna Adui mmoja tu, Ujinga, nyingine zote ni porojo za ujinga wetu tu
Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti. Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kebehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa. Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote...www.jamiiforums.com
Ujinga umeshakuwa tabia, wanaozaliwa Kidigitali ndio watakuja kutoka kwenye hii laanaSasa tuwasaidie Watanzania wasiendelee kufanywa wajinga
Mbona UAE hawalalamiki unalalamika wewe? Unataka kusema UAE hawajaliona hilo hadi wakaanza kulalamika?Mikataba ipo ya aina mingi, kuna mikataba hawana sifa ya kuiingia. Kwa hivyo usilete porojo za kusema wana uwezo wa kuingia mkataba wowote.
DP world wapo UK, lakini hakuna IGA kati ya UK na DP World. IGA ni treaty na only states zinaweza zinaweza zikaingia treaty. Linawezekana vipi hilo huku Tanzania.
Huo Muungano wao ulipoteza sifa zao fulani ili kutengeneza umoja wao utakao wawakilisha so acha kupotosha.
Tushasemwa humu kuwa tunataka uteuzi. Tatizo hawaangalii records zetu za huko nyuma tulipojiunga humu.Wako wengi hao mpaka unawashangaa. Wengine wanaona wanaotetea ukweli wa IGA eti wanataka teuzi, daah!
Mama kaibuwa madudu mengi sana ambayo hata Magufuli sifahamu kwanini aliyambia macho aua labda alikuwa anangoja wakati wake ufike akatangulia yeye, sina uhakika. Niliandika hivi:Kiukweli nimeisoma IGA ya Tanzania na Dubai several times, bado najiuliza upotoshaji huu wa akina Lissu, Slaa nk unatokea wapi? Mbona iko straight forward tu kwa mambo mengi. Ni Mkataba tu au kuna issue nyingine? Kwamba IGA hii ina shida kwenye suala la ardhi? Au ukomo? Kwamba IGA iseme DPW italipa fedha kiasi fulani au itaajiri wafanyakazi idadi flani?? Hakika watanzania katika hili la Bandari tumetia aibu duniani. Tunaonekana vilaza wa kutupwa kwa kushindwa kuelewa vitu basic kama hivi.