Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Hii mihemko uliyokuja nayo hapa sio ya kitoto, naamini na nitaendelea kuamini siku zote, huwa unatetea kitu ambacho hata hukijui, kwa mfano, nina hakika hata ile IGA hujawahi kuisoma, ndio maana nimekuwa nikikuuliza mara nyingi maswali toka pale hujawahi kunijibu.

Ungesoma angalau article no 2 ya IGA, kwenye objectives of that agreement pekee, usingekuja kuandika huu ujinga wako uliotujazia hapa. Pale panasema objectives of that agreement is to set a legally binding framework, ndio maana unaambiwa waarabu wako tayari kuanza kazi zao hata kabla ya hiyo HGA yako unayoimba kama kasuku haijasetiwa, walikuwa tayari tangu siku ile ya October 2022 IGA iliposainiwa.
 
Hii mihemko uliyokuja nayo hapa sio ya kitoto, naamini na nitaendelea kuamini siku zote, huwa unatetea kitu ambacho hata hukijui, kwa mfano, nina hakika hata ile IGA hujawahi kuisoma, ndio maana nimekuwa nikikuuliza mara nyingi maswali toka pale hujawahi kunijibu.

Ungesoma angalau aticle no 2 ya IGA, kwenye objectives of that agreement pekee, usingekuja kuandika huu ujinga wako uliotujazia hapa. Pale panasema objectives of that agreement is to set a legally binding framework, ndio maana unaambiwa waarabu wako tayari kuanza kazi zao hata kabla ya hiyo HGA yako unayoimba kama kasuku haijasetiwa, walikuwa tayari tangu siku ile ya October 2022 IGA iliposainiwa.
Rejea angalizo ndugu. Weka majibu acha longolongo
 
Rejea angalizo ndugu. Weka majibu acha longolongo
Angalizo lipi?

Wewe umeweka matumaini yako yote kwenye HGA, mimi hapo juu nimekuonesha kutokana na baadhi ya vifungu kwenye ile IGA, hiyo HGA yako tayari haina maana tena, tumeshajibana, nawe najua hujawahi kuisoma ile IGA hata kifungu kimoja, ndio maana huwezi kujibu chochote toka pale.

Unaimba tu HGA kwasababu unaona hiyo ndio njia yenu pekee ya kujinasua na maswali mliyoshindwa kuyajibu.
 
Angalizo lipi?

Wewe umeweka matumaini yako yote kwenye HGA, mimi hapo juu nulimekuonesha kutokana na baadhiya vifungu kwenye ile IGA, hiyo HGA yako haina maana tena, tumeshajibana, nawe najua hujawahi kuisoma ile IGA hata kifungu kimoja, ndio maana huwezi kujibu chochote toka pale.

Unaimba tu HGA kwasababu unaona hiyo ndio njia yenu pekee ya kujinasua na maswali mliyoshindwa kuyajibu.
Rejea tena. Weka majibu acha longolongo
 
Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.

Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.

Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
View attachment 2701848

Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.

Ifike kipindi sasa aache kuwadanganya watu kwa kuwa tu hawana uelewa wa mambo!

Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.

Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.


Nawasubiri!!
Nimesikitika kusikia eti mwanasheria anaongea upuuzi Kama ule,lisu ni rubbing kabisa

USSR
 
Back
Top Bottom