Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Nimesikitika kusikia eti mwanasheria anaongea upuuzi Kama ule,lisu ni rubbing kabisa

USSR
Yule nawaambia kila siku ni mwehu. Siku hizi kazidi kuongea utumbo.

Ngojeni muda mchache ujao atatangaza kanisa lake. Naona wehu wake unampeleka huko, maana sauti kishaanza kuiweka kiuchungaji chungaji. Wehu si mchezo.
 
Hapa sasa ndio narudi kwa comment ya Mag3 aliyotuasa never argue with a fool, u will bring me down, and beat me with your experience..

Niliamua ku argue kidogo ili nikuoneshe ujinga wako, ukishauona niondoke.
Kwa anavyopenda uchafu huyo ni nguruwe kabisa. Nguruwe ni nguruwe tu hata akipaka rangi ya mdomo utamkuta dampo!
 
Fools rush in where wise men never go...You can disagree without saying anything. One does not need to win stupid arguments...it saves time, energy, and friends

Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience...Mark Twain

Never wrestle with a pig. You just get dirty, and the pig likes it!

Never play chess with pigeons - they knock over the pieces, poop on the chessboard, and fly away convinced they've won!

A wise man can learn more from a foolish question than a fool can learn from a wise answer!

Dont try to fool people all the time, sometimes just let them fool themselves.
That shows how stupid you are, none of that is yours. Go fart and get lost.

Next time come with what is yours.
 
Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.

Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.

Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
View attachment 2701848

Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.

Ifike kipindi sasa aache kuwadanganya watu kwa kuwa tu hawana uelewa wa mambo!

Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.

Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.


Nawasubiri!!
Huwezi kuanzisha ligi wewe halafu unataka wewe mwenyewe kuwa refa na mchezaji.

Baada ya huo ubishi kati yako na Lisu ni nani atatuthibitishia ukubwa wa ujinga wako?

By the way vijana waliokuwa na mtazamo wa Lisu walienda mahakamani kuvunja mzizi wa fitna.

Tumeona na kusikia Jaji akimsifia Mwambukusi kwa uwezo wake mkubwa wa kuonesha professionalism katika uwanda wa siasa na sheria.
 
Nimesoma page saba zote ni ushuzi tu umejaa humu.
 
That shows how stupid you are, none of that is yours. Go fart and get lost.
Huna habari tumewapa bandari DP World kwa sababu sisi ni wajinga wasio na akili wala uadilifu wa kusimamia kilicho chetu?
Next time come with what is yours.
Sawa, lakini mbona hatutumii akili zetu wenyewe kuzisimamia taasisi zetu kama bandari hadi tuwakabidhi Waarabu?
 
Haiwezi kuwa IGA(makubaliano kati ya serikali) sababu Dubai si nchi kamili. Tungefanya IGA na UAE ingekuwa sawa.
 
That shows how stupid you are, none of that is yours. Go fart and get lost.

Next time come with what is yours.
Hupendi maneno ya werevu kwasababu ya kuzoea kuishi kwenye ujinga, ndio maana unawapenda wajinga wenzio.
 
Huna habari tumewapa bandari DP World kwa sababu sisi ni wajinga wasio na akili wala uadilifu wa kusimamia kilicho chetu?

Sawa, lakini mbona hatutumii akili zetu wenyewe kuzisimamia taasisi zetu kama bandari hadi tuwakabidhi Waarabu?
Tumewapaje Bandari?
 
Hupendi maneno ya werevu kwasababu ya kuzoea kuishi kwenye ujinga, ndio maana unawapenda wajinga wenzio.
Hadi
Huwezi kuanzisha ligi wewe halafu unataka wewe mwenyewe kuwa refa na mchezaji.

Baada ya huo ubishi kati yako na Lisu ni nani atatuthibitishia ukubwa wa ujinga wako?

By the way vijana waliokuwa na mtazamo wa Lisu walienda mahakamani kuvunja mzizi wa fitna.

Tumeona na kusikia Jaji akimsifia Mwambukusi kwa uwezo wake mkubwa wa kuonesha professionalism katika uwanda wa siasa na sheria.
Unaendelea kuleta longolongo. Page ya 7 hii
 
Kama ni hivyo basi ngoja nikimbie.Sisi watoto tukisikia harufu kama hizo hatusemi neno.Tunaondoka tu.
Kimbia tu maana page ya 7 hii mmepoteana mmeshindwa kujibu swali
 
Back
Top Bottom