mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Kijana wa 2000 hujamboChidumule nimemfahamu kwenywe nyimbo zake za gospel huko kwingine sijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana wa 2000 hujamboChidumule nimemfahamu kwenywe nyimbo zake za gospel huko kwingine sijui
Tx Moshi usimfananishe na hivyo viroboti.Swali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
Msondo Ngoma mpaka leo bado ya moto.Kwa upande wangu, Shaban Ally Mhoja Kishiwa (TX Moshi William) ndio mtunzi bora wa mwisho mwisho wa muziki wa dansi.
Baada ya kifo chake, Msondo ngoma ikajifia kimyakimya!!
Anyway, jamaa alishawahi kuua huko Tanga na kukimbilia Dar
VzrHEmedi maneti huyo baba mkwe
Shukran mkuuHEmedi maneti huyo baba mkwe
Msondo ngoma,ngoma iliwamalizaMsondo Ngoma mpaka leo bado ya moto.
.,. Ngoja nikuwekee hapa....Nilivyomuhusudu mtoto merry sijapata kupenda toka nizaliwee🎵🎵.
Nasononekaaa,🎵🎵
Ee niemezama Kwenye dimbwi ,,la mapenzi 🎵
Mapenzi ninsawa na ajalli Haina kinga eee🎵🎵.
Ayaa yaa maria wangu ,ohh maria wangu 🎵🎵.
Huyu alikuwa nani ?
Hii nyimbo alipiga nani?
Neema (almaarufu Kumbikumbi)- Cosmas ChidumuleWeka na nyimbo zao walizotunga tuone plz
TX Moshi ni moto wa kuotea MbaliSwali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
Orodha hii ni fake, bila Hemed Chiriku Maneti, Max Bushoke!Swali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
Dr . Ramadhani Mtolo Ongala. (RIP)Bitchuka kwa muziki wa wahenga anafunika wote
Yeah, Hemed "Chiriku" Maneti na wimbo wake wa Maria Mary alikuwa baba lao!!HEmedi maneti huyo baba mkwe
Nyie wote kumbe wa juzi juzi hapa! Kama hukuwahi kumsikia Hemed Chiriku Maneti huwezi kuelewa! Huyo ndiye alikuwa funga kazi ndiyo wakaja hao akina Mzee Kijicho (jina eti limenitoka), Tx Moshi William, Rehani Bitchuka, Seleman Kalala Mbwembwe, somebody Dede alikuwa Mlimani Park Orchestra, wale vijana wa Tancut Almas enzi zile! Mziki wa jazz ulikuwa wa maana sana siyo haya mauchafu ya sasa hivi!Bichuka ni kitu kingine ndgu,japo Moshi ndo alimalizia mwishooni
Maneti kiboko yake marijani,narijaninayekiboko yake ni mbaraka mwinshehe,mbaraka naye kiboko yake salum abdalkah,unavyozidi kurudisha miaka nyuma ndio ubakutana na manguli zaidiNyie wote kumbe wa juzi juzi hapa! Kama hukuwahi kumsikia Hemed Chiriku Maneti huwezi kuelewa! Huyo ndiye alikuwa funga kazi ndiyo wakaja hao akina Mzee Kijicho (jina eti limenitoka), Tx Moshi William, Rehani Bitchuka, Seleman Kalala Mbwembwe, somebody Dede alikuwa Mlimani Park Orchestra, wale vijana wa Tancut Almas enzi zile! Mziki wa jazz ulikuwa wa maana sana siyo haya mauchafu ya sasa hivi!