Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila cha kushangaza hawa kuonekana kutembea na ccm wala kufanya ujinga wa wasanii waleoSwali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
1. ChidumuleSwali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
Ndiyo! Muhidin Gurumo Mwalimu!Gurumo yupo wapi hapa baba yao?
Hakuna kama Marijani Rajabu inchi hii..walimwita Jabali la Musiki..1. Chidumule
2. Rehan bitchuka
3. Tx
Inchi???😳Hakuna kama Marijani Rajabu inchi hii..walimwita Jabali la Musiki..
InjiInchi???😳
Hatari sanaInji
Moshi aliua?Kwa upande wangu, Shaban Ally Mhoja Kishiwa (TX Moshi William) ndio mtunzi bora wa mwisho mwisho wa muziki wa dansi.
Baada ya kifo chake, Msondo ngoma ikajifia kimyakimya!!
Anyway, jamaa alishawahi kuua huko Tanga na kukimbilia Dar
Hivi mnajua ni kwa nini Bitchuka aliitwa ''Stereo''? Sauti yake kwenye nyimbo yoyote ilikuwa ni unique. Alikuwa ananogesha nyimbo sana. Anyways, kushindanisha wanamuziki kwa sauti mara nyingi ni very challenging kwani kila mwimbaji an vionjo vyake. Ni kama vyakula. TX Moshi alikuwa ana ladha yake tofauti na Bitchuka au Gurumo. Ila mimi Bitchuka ndiyo nampenda zaidi.Ndiyo! Muhidin Gurumo Mwalimu!