Usitarajie Yanga kuwashinda Simba kwenye jambo lolote nje ya pitch iwe ni mitandaonii, iwe ni kuingia vieanjani, iwe ni manunuzi ya jezi, iwe ni muitikiio wa jambo lolote lile.
Mkuu huyu mtu inapaswa alindwe Kwa wivu mkubwa mnoooo Makolo wasije wakamshitaki Kwa huu Ubakaji😂MaKolo wanamchukia huyu jamaa....vibaya mnooo
Asa kwanini asiwe MO awe GSM?Usitarajie Yanga kuwashinda Simba kwenye jambo lolote nje ya pitch iwe ni mitandaonii, iwe ni kuingia vieanjani, iwe ni manunuzi ya jezi, iwe ni muitikiio wa jambo lolote lile...
Hasadi bin ubwela de 5 hamsa mwana wa tatu kwenye ligi kuu Cc ephen_Mbona hakuna ubunifu wowote kacopy na kupaste kwa Kaizer Chiefs
Mkuu jezi kali hatukatai lakini ni copy na kupaste hakuna ubunifu wowoteHasadi bin ubwela de 5 hamsa mwana wa tatu kwenye ligi kuu Cc ephen_ View attachment 3054270
SomaMbona hakuna ubunifu wowote kacopy na kupaste kwa Kaizer Chiefs
Weka ushahidiMkuu jezi kali hatukatai lakini ni copy na kupaste hakuna ubunifu wowote
Upo sahihi Sandaland Yeye anachukuaga rangi nyekundu anachanganya na nyeupe anaprint MoExtraa na Mbetii kamaliza
Ahmedy Ally unaumia sanaMbona hakuna ubunifu wowote kacopy na kupaste kwa Kaizer Chiefs
Yaani bora hata wangegundua kuandika SANDA hapo kifuani 🤣🤣🤣Mkuu jezi kali hatukatai lakini ni copy na kupaste hakuna ubunifu wowote
Elfu tano unachukua?
kweli kabisaHuwezi kupata ukweli kwa hizi timu mbili kupiti kura,,hata kama ungeweka jezi na gunia,gunia linaweza kushinda.