Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nyeupe ina shida gani man?Tatizo ina rangi nyeupe ambayo katiba ya klabu yetu imepiga marufuku matumizi yake
Makolo hawana akili timamu! Eti Dr Restart kawapigia kura Simba na Sanda zaoUkweli unamuweka mtu huru 😀 mashabiki wa ubwela roho zinawauma sana
Umeenda pre season umemuacha msemaji wa timu nyumbani, mechi mnacheza gizani kama washirikina, bado ukaudanganya umma unakwenda kutambulisha jezi mbugani hatuoja swala, nyati wala jina la mbuga. Cc ephen_
🙄Makolo hawana akili timamu! Eti Dr Restart kawapigia kura Simba na Sanda zao
Mwaka huu Jessy sio nzuri sanaNsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Hiki alichokifanya Sheria Ngowi ni udhalilishaji wa wazi kabisa Kwa upande wa pili,siyo kudhalilisha tu bali ameamua kubaka hadharani!
View attachment 3054173
View attachment 3054182
View attachment 3054187
Umeshapiga kura?
😁😂😂😂😂Ubwela SC kesho waje kushuhudia mechi yetuMakolo hawana akili timamu! Eti Dr Restart kawapigia kura Simba na Sanda zao
Kua Yanga ni raha sanaa! Kila siku kwetu ni furaha☺️😁😂😂😂😂Ubwela SC kesho waje kushuhudia mechi yetu
Uzi wa yanga umepoteza uhalisia wake , umekaa kama shati ya Christmas au mashati ya kwaya ya mtakatifu Tereza parokia ya kibosho , jezi ya mnyama ni kali mno.Umeshapiga kura?
Naunga mkono hoja hawa wasubirie kupewa hamsa tarehe 8Kua Yanga ni raha sanaa! Kila siku kwetu ni furaha☺️
Kwanini jezi zenu miaka mitatu mfululizo style ni ileile hakuna ubunifu mpya zaidi ya mwaka huu mmeweka ubunifu tu wa neno SANDA?Uzi wa yanga umepoteza uhalisia wake , umekaa kama shati ya Christmas au mashati ya kwaya ya matakatifu Tereza parokia ya kibosho , jezi ya mnyama ni kali mno.
Weka vifungu hivyo vya katiba hapa!Tatizo ina rangi nyeupe ambayo katiba ya klabu yetu imepiga marufuku matumizi yake
Kuna timu kila msimu jezi zake huwa ni zile zile tofauti ni kola au matangazo ya tajiri tuu.Kwanini jezi zenu miaka mitatu mfululizo style ni ileile hakuna ubunifu mpya zaidi ya mwaka huu mmeweka ubunifu tu wa neno SANDA?
Acha tarehe 8 tuwakanyage tena!Kuna timu kila msimu jezi zake huwa ni zile zile tofauti ni kola au matangazo ya tajiri tuu.
Hizi ndio jezi za kwenu ni Mashati ya batiki ya kwaya.Kwanini jezi zenu miaka mitatu mfululizo style ni ileile hakuna ubunifu mpya zaidi ya mwaka huu mmeweka ubunifu tu wa neno SANDA?
Kwahiyo toka anaanza kazi ya ubunifu alikuwa anawategemea wao wamfanyie kazi au aliwaajiri baada ya yeye kuwa bora na kupata tenda nyingi akawa anahitaji wasaidizi?Ameishiwa ubunifu, vijana aliokuwa anawategemea hawapo kwake tena
Ulikuwa ni wakati mzuri sana kuona milio kutoka Msimbazi. Спокойной ночи.Acha tarehe 8 tuwakanyage tena!
Uniletee uzi mweupe huo ukija tuvae zetu sare😉Hizi ndio jezi za kwenu ni Mashati ya batiki ya kwaya.View attachment 3054411