Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hii 5 hapo mbele ndio niniHizi ndio jezi za kwenu ni Mashati ya batiki ya kwaya.View attachment 3054411
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii 5 hapo mbele ndio niniHizi ndio jezi za kwenu ni Mashati ya batiki ya kwaya.View attachment 3054411
Tar 8 tunawapelekea moto tu moto tu!!Ulikuwa ni wakati mzuri sana kuona milio kutoka Msimbazi. Спокойной ночи.

Naunga mkono hoja watapata tabu sanaTar 8 tunawapelekea moto tu moto tu!!![]()
Tano ipi mkuu?Hii 5 hapo mbele ndio nini
Hahahahhhaa na nimepiga kweli..Makolo hawana akili timamu! Eti Dr Restart kawapigia kura Simba na Sanda zao
UmesahauTano ipi mkuu?
Nilichungulia nikaona jina lako nikasema huyu mtu ni mzee wa hovyo sanaHahahahhhaa na nimepiga kweli..
Ulitegemea nipigie batiki?
😁😁😁 wa mnyama au?Uniletee uzi mweupe huo ukija tuvae zetu sare😉
Yeah! Nataka nivae sare na wewe😁😁😁 wa mnyama au?
Vincenzo Jr ubaya ubwela 😁😁😁😁😁Yeah! Nataka nivae sare na wewe
Dah! Unanichongea kwa ndugu yangu vincenzor🥲Vincenzo Jr ubaya ubwela 😁😁😁😁😁
Kabla ya kuchanganyikiwa kila mtanzania alikua ni simba😜😜Dah! Unanichongea kwa ndugu yangu vincenzor🥲
Vincenzo Jr ubaya ubwela 😁😁😁😁😁
Kama ubingwa wa Afrika ni makende yako sawa.Usitarajie Yanga kuwashinda Simba kwenye jambo lolote nje ya pitch iwe ni mitandaonii, iwe ni kuingia vieanjani, iwe ni manunuzi ya jezi, iwe ni muitikiio wa jambo lolote lile.
Kumbuka, Yanga ni mpaka wahamasishwe, lakini
Simba wana hamasishana.
Lijapo swala la Club Yanga husubiri maelekezo na kuhamasishwa, Wakati Simba itakuta wameshalianzisha na kutangulia. Huku wakihamasishana.
GSM angekuwa yupo Simba, naamini sasa hivi wangekuwa tayari wamebeba ubingwa wa Afrika
Mlio wafunga tano mpo nao huko chama ,mkude baleke nasikia na kibu mda wowote 😛😛😛
Jezi ni ya simba ila yanga wametoa mashati mazuri ya batikiJikite kwenye mada
'Kati ya Simba na Yanga, timu gani imetoq Jezi kali msimu huu 2024/25'