Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kibu yupo ulaya πππ baleke tarehe 8 atafunga MojaMlio wafunga tano mpo nao huko chama ,mkude baleke nasikia na kibu mda wowote πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibu yupo ulaya πππ baleke tarehe 8 atafunga MojaMlio wafunga tano mpo nao huko chama ,mkude baleke nasikia na kibu mda wowote πππ
MbumbumbuUsitarajie Yanga kuwashinda Simba kwenye jambo lolote nje ya pitch iwe ni mitandaonii, iwe ni kuingia vieanjani, iwe ni manunuzi ya jezi, iwe ni muitikiio wa jambo lolote lile.
Kumbuka, Yanga ni mpaka wahamasishwe, lakini
Simba wana hamasishana.
Lijapo swala la Club Yanga husubiri maelekezo na kuhamasishwa, Wakati Simba itakuta wameshalianzisha na kutangulia. Huku wakihamasishana.
GSM angekuwa yupo Simba, naamini sasa hivi wangekuwa tayari wamebeba ubingwa wa Afrika
Simba ni chuo cha mpira wewe πKibu yupo ulaya πππ baleke tarehe 8 atafunga Moja
Acha kuishi kwa kukaririshwa , nani kakwambia hilo!?Asa kwanini asiwe MO awe GSM?
Wala hatuna chuki na hizi batikiMaKolo wanamchukia huyu jamaa....vibaya mnooo
Ina maana mpaka sasa bado tu haujayasahau hadi unayafananisha na ubingwa wa Afrika?? Kweli nimeamini ilikuwa ni mara yako ya kwanza kunyonya kende na mchapio wake.Kama ubingwa wa Afrika ni makende yako sawa.
ππ€£Akishapatikana mshindi unapata bei gani kwa akaunti yako ya CRDB?
Mbona una complicate maisha! Relax mkuu, sio kila kitu usumbue ubongo, lkn pia kuna jukwaa la elimu humu, kule nadhani kunakufaa, hapa tuachie sisi tusiokuwa griti thinka (kwa mawazo yako wewe lkn)Heshimun jf jamani mada gani hizi?
π€£π€£π€£π€£π€£ Hivi kumbe Manguruwe wao walichukua hii
Achana na hii, nenda kwenye mada za maana zimejaa tele humuHizi mada za kipumbavu zinafaa ziishie kwenye vijiwe vya kahawa na bodaboda