Tumalize utata: Jezi ipi kali msimu huu kati ya Yanga na Simba?

Kati ya Simba na Yanga, timu gani imetoq Jezi kali msimu huu 2024/25


  • Total voters
    121
  • Poll closed .
Mbumbumbu
 
Kama ubingwa wa Afrika ni makende yako sawa.
Ina maana mpaka sasa bado tu haujayasahau hadi unayafananisha na ubingwa wa Afrika?? Kweli nimeamini ilikuwa ni mara yako ya kwanza kunyonya kende na mchapio wake.
 
Ile ya Simba ni sanda sio jezi jamani mbona hamwelewi
 
Frankly speaking bila kupendelea ,jezi ya Young African ni nzuri saaaana, zimetulia na designer alituliza kichwa ametoa kitu cha tofauti ambacho majority hawakutarajia

Ukweli utakuweka huruuuu!!!
 
Heshimun jf jamani mada gani hizi?
Mbona una complicate maisha! Relax mkuu, sio kila kitu usumbue ubongo, lkn pia kuna jukwaa la elimu humu, kule nadhani kunakufaa, hapa tuachie sisi tusiokuwa griti thinka (kwa mawazo yako wewe lkn)
,, by the way Yanga wana jezi zao mkato wa kitenge kwa fundi mnyumanga,, kisha wana lunyasi Simba sports uzi wao wa kiwango cha dunia..
 
Nadhani tutoke huku, wenzetu hawatumii muda kwenye design wao wanachapisha na kuuza. Sisi twasifia ubora ila hatununui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…