Hili jambo wangeamua kukaa kimya linge resti ini pisi. Kwa kuamua kuliundia tume na vikundi vya kulichunguza ni kuendelea kumchokonoa marehemu na wafiwa. Kwa kufanya hivyo kamwe halitaweza kuresti ini pisi na kufikia tamati. Uongo haujawahi kuwa na nguvu mbele ya ukweli. Sifa pekee ya uongo ni kujipendekeza na kuwahi nafasi ya mbele tu