Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Tetetee!Kwamba hizo taka dunia nzima ziko mto mara pekee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tetetee!Kwamba hizo taka dunia nzima ziko mto mara pekee
Watu hao utashangaa wameramba posho za maana halafu wanakuja na na matokeo ya utafiti ambayo hata mtoto wa chekechea hawezi kuyaamini
Wa jalalani hafai hata kulumangia
Shida ya huyu profesa mtetezi wa mavi ya ng'ombe, ni mmoja kati ya wale wanaoamini kwamba ukiwa profesa kila mtu anakuamini. Hakutegemea aseme uongo halafu ahojiwe kwa uwongo wake. Tatizo alisema uongo ambao husemwa na watoto wanapokuwa wanajifunza mema na mabaya. Pale ambapo wanajua sasa watapewa adhabu.Tulikuwa kwenye vinyesi 25kg na mkojo wa lita 21 kwa ng'ombe kwa siku, kana kwamba mtoni ndiko chooni kwao.
Sasa hivi tuko kwenye uozo:
View attachment 2165218
Tuko kimya siyo kuwa hatuoni.
Tuelewane:
"Vikwazo katiba mpya inatukera zaidi."
Hii tume inatumia maabara ipi? Kutafuta findings katika huo mto ya mwekezaji nini?Tulikuwa kwenye vinyesi 25kg na mkojo wa lita 21 kwa ng'ombe kwa siku, kana kwamba mtoni ndiko chooni kwao.
Sasa hivi tuko kwenye uozo:
View attachment 2165218
Tuko kimya siyo kuwa hatuoni.
Tuelewane:
"Vikwazo katiba mpya inatukera zaidi."
Piga yowe tataKwi Kwi Kwi
Covid-19 tumeshughulika nayo kwa namna bora kabisa.Hivi ndivyo tulivyoonekana wababaishaji kwenye COVID kipindi cha jiwe.
Anashusha nondo.Kwa sababu ni sukuma genge?
Shida ya huyu profesa mtetezi wa mavi ya ng'ombe, ni mmoja kati ya wale wanaoamini kwamba ukiwa profesa kila mtu anakuamini. Hakutegemea aseme uongo halafu ahojiwe kwa uwongo wake. Tatizo alisema uongo ambao husemwa na watoto wanapokuwa wanajifunza mema na mabaya. Pale ambapo wanajua sasa watapewa adhabu.
Kama bado anaendelea kusema mengimne, ndo ujue aina ya mtu aliyeandika ule ujinga. Anweza kuwa an tatizo kichwani.
Kati ya Mawaziri wa Mambo ya Nje tuliowahi kuwa nao, Kabudi is one of the best.
Usikute posho na mlungula juu
Kigezo kinachotumika ni kutokuvimbiwa basi.
Kwanini asifunguliwe mashitaka ya kupotosha umma? Tope katika maji yanayotembea haliwezi kuua viumbe wa majini bila uwepo wa SUMU inayoondoa Oksijeni....HAUWEZEKANI ABADANI!!!Tulikuwa kwenye vinyesi 25kg na mkojo wa lita 21 kwa ng'ombe kwa siku, kana kwamba mtoni ndiko chooni kwao.
Sasa hivi tuko kwenye uozo:
View attachment 2165218
Tuko kimya siyo kuwa hatuoni.
Tuelewane:
"Vikwazo katiba mpya inatukera zaidi."
Kwanini asifunguliwe mashitaka ya kupotosha umma? Tope katika maji yanayotembea haliwezi kuua viumbe wa majini bila uwepo wa SUMU inayoondoa Oksijeni....HAUWEZEKANI ABADANI!!!
Kilichotokea ni ni mafuta machafu na sumu za viwanda au machimbo ya madini kutanda juu ya utando wa maji hivyo kuzuia hewa hai kuingia kwenye maji na hewa chafu kuondoka kwa kuwa kuna kizuizi
Anyway, Huyu Mwanamke ,anaongozwa na JK .Tulikuwa kwenye vinyesi 25kg na mkojo wa lita 21 kwa ng'ombe kwa siku, kana kwamba mtoni ndiko chooni kwao.
Sasa hivi tuko kwenye uozo:
View attachment 2165218
Tuko kimya siyo kuwa hatuoni.
Tuelewane:
"Vikwazo katiba mpya inatukera zaidi."