Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi ina upendeleo wa wazi kwa CCM na mgombea wake dhidi ya CHADEMA na Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi ina upendeleo wa wazi kwa CCM na mgombea wake dhidi ya CHADEMA na Tundu Lissu

Chakusikitisha zaidi ni kutumia miradi ya kuongeza pato la serikali kuwapotosha wananchi kuwa wamepewa kama hisani ya CCM na Mgombea wake, yaani mtu anawaaminisha watu kuwa Umeme ni kama msaada walioletewa wananchi wakati umeme ni biashara inayoingiza pato serikalini. Ndio maana kama huna hela ya Luku umeme unakata hata kama wewe ni kada wa CCM kulilo aliyeiunda.
Maji ni biashara inayoingiza kipata serikalini. Ndege,meli,hospitali vyote ni miradi ya kuongeza pato la nchi ambapo wananchi wanagharamikia kupata huduma hizo . Sasa kuwatisha watu kuwa hatutawapa umeme ni ujinga maana umeme unaongeza pato la serikali na ukiwanyima watu umeme na maji sio tu unatenda dhambi kubwa bali pia unaikosesha serikali kipato kupitia bili za maji na umeme.

Kuna mjinga mmoja nilimwona akisifia kuwa umeme umepelekwa vijijini bila kusema kuwa watu wanahitaji pia kupata fedha ili waweze kununua Luku serikali ipate pesa na kodi,na pesa za Ewura, tarura n.k.

Watu wasipopata barabara nzuri wakanunua magari wakaweka mafuta na kulipa kodi ,tarura,rea, ewira na road licence maendeleo yatatoka wapi?

Lisu yupo sawa kusema kuwa sera yake ni Haki uhuru na maendeleo ya watu. Bila maendeleo ya watu hizo ndege watapanda Bure?? Huo umeme utawashwa bila LUKU. Watanzania tuzinduke wajanja wachache wameitumia Tume kwa miaka mingi kututawala na kutuibia mali za umma ikiwemo nyumba za serikali na kujimilikisha ardhi yote yenye rutuba kinyume cha sheria ya maadili ya utumishi wa umma. Wanamuogopa Lisu mana wanaogopa sheria kufuatwa kwa haki.
 
Kuna watu wanamsifu Yohana mpaka unashangaa.

Kaharibu Mhimili wa Bunge, kaharibu Mahakama na pia kaharibu Tume ambayo haikuwa huru na anazidi kuiharibu .... Huwezi kufanikiwa kama Bunge na Mahakama ziko mfukoni mwa mtu moja. Someone help me here ...!!
 
Kuna watu wanamsifu Yohana mpaka unashangaa.

Kaharibu Mhimili wa Bunge, kaharibu Mahakama na pia kaharibu Tume ambayo haikuwa huru na anazidi kuiharibu .... Huwezi kufanikiwa kama Bunge na Mahakama ziko mfukoni mwa mtu moja. Someone help me here ...!!
We can't breathe
 
Kuna watu wanamsifu Yohana mpaka unashangaa.

Kaharibu Mhimili wa Bunge, kaharibu Mahakama na pia kaharibu Tume ambayo haikuwa huru na anazidi kuiharibu .... Huwezi kufanikiwa kama Bunge na Mahakama ziko mfukoni mwa mtu moja. Someone help me here ...!!

Ni mtawala muoga!
 
Mimi sio mwana siasa lakini lakini simpendi kabisa rais magufuli
Kweli kweli no mbaguzi Sana
Katili Sana
Kiburi Sana
Muuaji mkuu
Hana huruma
Chuki binafs
Mtu wa visasi
Hapendi ushuru
Dharau
Kebehi
Dhulma
Kujikweza
Majivuno
Mkabila
Ndini
Mkanda
Kwa kweli ni mtu ambae anasifa nyingi za unyama na za kidikteta
Sidhani kama anasifa moja ya kiutu
Lakini atashinda uchaguzi kwa kishindo cha kufanya watanzania ni kufanya subira miaka mi5 panapo majaliwa itaisha
Huyu mtu hata mimi sipendi hata kuona sura yake.
 
Yaani kushinda nyinyi ni ndoto ya mchana. Leo nimehakikisha kabisa kuwa mnaedit picha leo nilikuwepo Karatu hakukuwa na watu kama mnavyoonyesha picha.
Mkuu unajua kusafiri
Mara mwanza Mara karatu
Je unafatana na msafara au,,,,,,,,
Karatu unaishi mtaa gani?
"" ""


"" "


Kimya
Muongo muulize Swali moja tu
 
Mkuu unajua kusafiri
Mara mwanza Mara karatu
Je unafatana na msafara au,,,,,,,,
Karatu unaishi mtaa gani?
"" ""


"" "


Kimya
Muongo muulize Swali moja tu
Niko naye sasa tuko Arusha mkuu! Naandika habari zake.
 
Back
Top Bottom