Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi ina upendeleo wa wazi kwa CCM na mgombea wake dhidi ya CHADEMA na Tundu Lissu

Andiko la hovyo lililojaa upendeleo kwa CHADEMA na wagombea wake!
Halina msaada kwetu, tunapoelekea Uchaguzi Mkuu.
Uongo mwingi sana na hadithi za kutunga
Hakuna sehemu yoyote ambayo Mkurugenzi wa Tume hiyo ameipigia kampeni sera ya ccm ni HOJA YA UONGO!, Kusema Mahitaji ya watanzania ambavyo ni kweli tunayataka sio kuitangaza sera ya chama
Maji, Hospitali, Bababara, Maendeleo kwa ujumla ni HITAJI LA MSINGI LA WATANZANIA. sasa kama hii ndio sera ya ccm na CHADEMA wanalalamika, napata shida sana kuelewa maana yake,sera ya CHADEMA haina hayo mahitaji. Sasa mnatangaza nini huko mitaani? Ilani yenu ina nini?

Wakati unaandika haya (nafahamu wako watanzania wanaofahamu Mambo wamekurekebisha katika uzo huu) Ulifuatilia na kujisomea kuhusu taratibu wa Kampeni na Timu za kampeni? Majaliwa anavunjaje sheria hapo? Shida mkiona mmezidiwa mnalalamika kuonewa, kueni creative na nyie, hamjakatazwa!

Ulicho weka hapo ni upotoshaji na uongo tu, kama ilivyo kawaida yenu,kakae usome mambo kabla hujaleta hizi hekaya zenu!
 
Hawezi kujua hayo, wao wanakariri mambo. Na ndio maana wanapigwa kila kukicha. Uwezo mdogo wa kufikiri
 

Hata kama vyama visipolalamika sisi wananchi tukiona uonevu tutalalamika maana na sisi tusio na vyama maalum ni wadau wa uchaguzi maana tunapiga kura.

Tukiona uonevu wowote dhidi ya mtu au chama chochote, na upendeleo kwa chama kingine tutasema tu.

Kitendo cha Magufuli kutisha wananchi kuwa hatowapelekea maendeleo wakichagua upinzani, tume ilipaswa kukemea matamshi hayo yanayoblackmail watu kwenye uchaguzi!
 
We waulize tume Kassim Majaliwa anazunguka nchi nzima kufanya kampeni kama nani? Na ratiba yake iko wapi na imetolewa na Mamlaka ipi? Wakikujibu niambie.
Jibu lao ni simple tu, watasema hakuna mgonbea au chama kilichopeleka malalamiko kwao kwa maandishi, japo kwa wengine hawatasubiri malalamiko kama mkurugenzi alivyofanya kwa LISSU.
 

TV ya Taifa na Radio ya Taifa imekuwa na full coverage ya Kampeni za CCM, I do not believe kwamba hao wengine wamekataa coverage
Mgombea wa CCM tunajua ni incumbent candidate hivyo bado ana nguvu za kiti, lakini pia tuwe makini na waangalifu na kitu kinachoitwa "power overriding"
 
Sio kweli kwamba wewe huna chama maalumu, Chama Unacho na ndio ulichohangaika kukisemea hapa
UONGO UONGO MTAACHA LINI NYIE NDUGU ZETU?
KILA WAKATI NYIE NI WATU WA KULIA LIA TU NAKUTAKA SYMPATHY VOTES BADILIKENI, ACHENI SIASA ZA KUNUNULIKA
 
Eti watanzania wanahitaji kuona barabara, elimu, madini yao yasiibiwe, ni kichaa kufikiri hivyo, mie nahitaji uhuru haki na maendeleo ya watu, maendeleo ya vitu yawe matokeo, sina chakula unionyeshe ndege!
 
Eti watanzania wanahitaji kuona barabara, elimu, madini yao yasiibiwe, ni kichaa kufikiri hivyo, mie nahitaji uhuru haki na maendeleo ya watu, maendeleo ya vitu yawe matokeo, sina chakula unionyeshe ndege!

Mkurugenzi wa tume anaifundisha ATM namna ya kutoa hela.

Hivyo ni vitu basic kwa serikali yoyote duniani. Kujenga hayo madufe ni rahisi ila kazi ya tathmini ya uanze na kipi, wapi na kwa gharaa zipi ndiyo kazi ngumu inayohitaji sera makini na aina ya uongozi unaofikiri kabla ya kujijengea hovyohovyo. Na huu uchaguzi unahusu kutafuta uongozi utakaoweza kudeliver.

Msajili aache vyama vinadi sera zao tuzisikie wenyewe asiwafundishe na wala asiwafokee.

Siyo kazi ya tume kufundisha wananchi aina ya kiongozi anayewafaa, wao kazi yao ni kuratibu uchaguzi baasi mambo mengine ni siasa, na siasa siyo kazi yao!
 

Sheria ya uchaguzi haitambui kitu ulichokisema "power of incumbent". Sheria ya uchaguzi inataka fairness ya vyombo vya habari vya Taifa kwenye kutangaza kampeni za wagombea wote
 
Sheria ya uchaguzi haitambui kitu ulichokisema "power of incumbent". Sheria ya uchaguzi inataka fairness ya vyombo vya habari vya Taifa kwenye kutangaza kampeni za wagombea wote
Kwasababu umekaza akili, huwezi kujua kwanini wanafull coverage kwenya kampeni, Nyie si mliwafukuza?
Mlisahau kama kuna kampeni na inabidi mtunze fedha za matangazo, mkalamba pesa zote saivi hamna hata fedha za matangazo mnataka kuzua uongo kuwa kuna watu wanapendelewa, pelekeni fedha muone kama hamtarushwa hewani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…