Fantastic Beast
Member
- Feb 18, 2019
- 53
- 539
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kutoa matokeo ya rufaa za udiwani na ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 28 Oktoba 2020.
Leo tume imetoa matokeo ya rufaa 55 kama ifuatavyo:
1. Imekubali rufaa 15 na kuwarejesha wagombea katika kinyang'anyiro cha uchaguzi.
2. Imekataa rufaa 15 za wagombea ambao hawakuteuliwa.
3. Imekataa rufaa 25 za kupinga walioteuliwa.
----------