Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Someni kiambatanisho
Hongera Sana Tume ya Uchaguzi Ya Taifa Kwa Kutenda Haki
i
Hongera Sana Tume ya Uchaguzi Ya Taifa Kwa Kutenda Haki
i
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ilitawanya wataalamu wake nchi nzima kwenda kuwasaidia wagombea wake jinsi ya kujaza fomu kikamilifu!Hapo wagombea wote waliokata rufaa ni wapinzani, maana yake kwa vyovyote vile watakaoumia ni wapinzani, hata kama wapo watakaorejeshwa kugombea lakini kwa hao ambao hawatarejeshwa nalo bado litabaki pigo kwa upinzani.
Hivi kwanini hakuna mgombea wa CCM hata mmoja aliekatwa? au wao walienda kusomea wapi kujaza hizo fomu? Tume iwaache wagombea wote sanduku la kura ndio likaamue.
Na kutowarudisha ndio hatari zaidi!!Naiomba kule Zanzibar tume isiwarudishe wale wa ACT ni hatari
Waendelee tu kutubeep.Wapuuzi sana hawa, wanapima upepo kwanza.
Act walitaka kukukula kiboga ?Naiomba kule Zanzibar tume isiwarudishe wale wa ACT ni hatari
Achana na hadithi za kusimuliwa, mimi sio mtaalamu wala nini lakini nilimsaidia mgombea wa Ccm hasiyejua kusoma wala kuandika kujaza form yakeCCM ilitawanya wataalamu wake nchi nzima kwenda kuwasaidia wagombea wake jinsi ya kujaza fomu kikamilifu!
Ni hatari wakirudishwa au ni hatari wasipo rudishwa?Naiomba kule Zanzibar tume isiwarudishe wale wa ACT ni hatari
OvyoCCM ilitawanya wataalamu wake nchi nzima kwenda kuwasaidia wagombea wake jinsi ya kujaza fomu kikamilifu!
Naiomba kule Zanzibar tume isiwarudishe wale wa ACT ni hatari
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kutoa matokeo ya rufaa za udiwani na ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi mkuu wa 28 Oktoba 2020.
Leo tume imetoa matokeo ya rufaa 55 kama ifuatavyo:
1. Imekubali rufaa 15 na kuwarejesha wagombea katika kinyang'anyiro cha uchaguzi.
2. Imekataa rufaa 15 za wagombea ambao hawakuteuliwa.
3. Imekataa rufaa 25 za kupinga walioteuliwa.
Shame on you!CCM ilitawanya wataalamu wake nchi nzima kwenda kuwasaidia wagombea wake jinsi ya kujaza fomu kikamilifu!
Kwa nini mnapenda ushindi wa mezani nyie wapumbavu??Naiomba kule Zanzibar tume isiwarudishe wale wa ACT ni hatari
"Hasiyejua" kuandika? Sawa!!Achana na hadithi za kusimuliwa, mimi sio mtaalamu wala nini lakini nilimsaidia mgombea wa Ccm hasiyejua kusoma wala kuandika kujaza form yake